Naomba msaada wa kuondoa madoa haya kwa mdogo wangu wa kike
umri miaka 15.
mwanzo alikua anasumbuliwa na upele uliokua unajitokeza kwa awamu na alipoenda hospital aliambiwa ni Allergy.
Hili tatizo la kupata vipele vinavyowasha lilikua lina kuja na kupotea baada ya muda....
Baadae kidogo ndipo...
Naomba msaada wa kuondoa madoa haya kwa mdogo wangu wa kike
umri miaka 15.
mwanzo alikua anasumbuliwa na upele uliokua unajitokeza kwa awamu na alipoenda hospital aliambiwa ni Allergy.
Hili tatizo la kupata vipele vinavyowasha lilikua lina kuja na kupotea baada ya muda....
Baadae kidogo...
Jamani poleni kwa majukumu...
Nilikua naomba msaada kwa yeyote mtaalam wa online business hasa zile za ku-earn money online aje anipe msaada juu ya hii online site inayoitwa EARNJET niliyoambiwa ipo KENYA,TANZANIA NA UGANDA na inatoa asilimia 6% kila siku kwa pesa uliyo invest..
Kwa mfano...
bangi inapokutana na pombe kwenye mkutano wa hadhara...
Jamaa alikua ana date na demu wa kisabato na mambo yalikua hivi.
Jmaa:baby unampenda msanii gani wa kike!?
Demu: me hata siwajui kabsa
Jamaa:mmmh...kwa mfano akina nani hao ambao hata huwajui!??
Demu: kuna kina zuchu,nandy,na anjella...
Wana jukwaa natumaini mpo salama muda huu na poleni kwa majukumu ya kila siku.
Niende moja kwa moja kwenye mada husika.
Nina wadogo zangu (mmoja ndo mdogo wangu wa damu na wawili ni rafiki zake na mdogo wangu) wamemaliza form six mwaka huu na matokeo yao ni kama ifuatavyo.
Baraka(mdogo wangu)...
Kikundi cha mziki kilichopo milambo kinachoitwa PiTCHO GANG kimeachia Ngoma kuhusu milambo. Nyimbo inaitwa CHAMA LA WANAUME inapatikana YouTube....
Itafute upate burudani...
Miongoni mwa mistari iliyomo wanakwambia
HAKUNA MLAMBO MSHAMBA...
Kikundi cha mziki kilichopo milambo kinachoitwa PiTCHO GANG kimeachia Ngoma kuhusu milambo. Nyimbo inaitwa CHAMA LA WANAUME inapatikana YouTube....
Itafute upate burudani...
Miongoni mwa mistari iliyomo wanakwambia
HAKUNA MLAMBO MSHAMBA...
[QU
OTE="Hance Mtanashati, post:
34842087, member: 400241"]
Huu ni uongo wa mchana kweupeeeee
inawezekana mzee Sabah kuna maswali mengne ya fasihi yaan like LA 11 na lile LA lazima LA 15 yoote sio ya vitabu
Kwa akina Rama kulikua ndio kuna video mtaa mzima.
Kila ilipokua inafika Saa 12 naoga huyooo Kwa WA RAMA, mda mwingne wakiivisha nipo mara moja moja nilikua nakula kwa WA RAMA.
Sasa siku Moja nipo nacheki movie Mara nikakaribishwa msosi ile nafika dinning room Mara paaaaap MSHUA a.k.a dingi...
BANDO~ TIKITAKA ROSTAM
yaan KUMAnisha we braza ni boya../
halaf maji mara moja kama maharage ya soya...
ama gemu limekushinda unatafuta kiki.../
sa si ni bora uongeze makalio u dange na gigy..
wee mjinga mpaka noma fata yako.../
kumbe hujui kusoma halaf mwalim mKUU MAma yako...!
leo hakuna...
BANDO~UKOKO ROSTAM
"kamdis shishi na wengne wenye k**ma nini../
una pigo fulan za kike kike wee una k**ma nini../
suna mm chuma mm kuna nini una umwa nini na ulimdish mpaka niki mbish bro unakunwa nini...?
mwambie huyo boya apunguzee ushambega../
wakazi amekosa kazi mpe ata kazi ya kutenga.../
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.