Recent content by Maquiseone

  1. M

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri Bungeni: Ijumaa, 28 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Yeah mama Makinda kajitahidi sana Angekuwa hivi always
  2. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta software inayoitwa CHIEF ARCHTECT

    Wadau na wakuu wa jamvini ninaomba msaada wa copy ya hiyo software yenye key na malipo ni maelewano. Email yangu ni lijonjo@hotmail.com
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada

    Hi wakuu, Tafadhali ninaomba mdau mwenye software ambayo inaitwa CHIEF ARCHTECT ili niweze itumia. Actually aniweza kunipa copy ambayo iko registered. Malipo ni mazungumzo. aliyenayo awasiliane nami kwa lijonjo@hotmail.com Have nice days to all
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mahali pa Biashara panauzwa

    Hey wakuuu, Kuna mahali pa biashara panatolewa kwa mtu pakiwa na kila kitu, Computers 11 zikiwa zinafanya kazi na zina network na zina wasiliana, na kuna simu za ndani ina reception, General office, Pool Place, Utility place na three cubics for the net PCs. Ofisi ipo Lindi Mjini...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Nasikia usiku wa leo kuna mtu kachinjwa zanzibar

    Hey wana jamvini mwenye taarifa hizi atujulishe vema ni kweli? Na kama ni kweli itakuwa tunaelekea wapi hasa? Tafadhalini tuliangalie kwa ufasaha kama ni kweli
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania tiGo WAP Manual Configuration Settings

    Mie natumia nokia E71 its ok, but kuna jamaa yangu ana nokia 3110 inagoma kupata setings na amewapigia sana na wanatuma setings lakini model hii haipokei. Tumejaribu kwa Zain na Voda inapokea vizuri but Tigo haitaki so please can someone help on that?
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania tiGo WAP Manual Configuration Settings

    Kaka unatuma number ipi hiyo medel
  8. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania inaweza kuongeza bei ya kahawa kwa kuwatumia kinyesi cha " Civets"-Fungo

    Kwa kweli sidhanii hata kama hii itaendelezwa hata kama ikiwa na maana, maana sio utamaduni wa watu wetu kushulikia reseach. Watakula pesa za walala hoi then jii. jiulize mradi wa kuyaangamiza magugu maji kwa wadudu umefikia wapi? Na wadudu wapo wengi mno na watu walirushwa nje kama wehu, fund...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Nafasi mpya za kazi (national insurance corporation) chc

    Hongera mkuu, tuansubiri majibu yako baada ya hilo zoezi.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Pinda, Muungano, na Hatima ya Zanzibar

    Nadhani Mh. Pinda kawapa sawasawa kabisa, kwani kuna baadhi ya wabunge na wajumbe wa wawakilishi wanakuwa kama hawana vision ya mbali juu ya Muungano. Maana mataifa makubwa yanajaribu kutafiuta mbinu ya kuweka nguvu pamoja but huku watu wanatafuta kuvunja hata kadogo kalikopo. Issue ni kutafuta...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Raisi kuidhinisha stahili ya Spika - ndio utaratibu ?

    Mimi nadhani issue kubwa hapo ni akina nani walio wazalendo zaidi. Mimi nadahania pia uongozi ni karama ila imefanywa kuwa ni biashara na hasa vile vigezo halisi vya uongoziu bora ni vipi vilipoanza kutipangilwa.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Business Opportunity kuwa ISP Mikoani na Wilayani

    Cool tuwasiliane kwa E-mail hii (lijonjo@hotmail.com), visit the website (www.lijonjo.webs.com)
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kuchukua Mkopo bank

    Mkuu "Shiumiti" issue ni kuwa vijana hawaaminiki kutpokana na wazee walio wengi kuwa na imani potofu kuwa viujana hawawezi. Yaani wagumu kubadilika
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kuchukua Mkopo bank

    Hey washkaji tuwe makini na kujibu kwetu hapa jamvini, Issue ni kuwa haya mabenk kwanza wale wahusika na maamuzi ya mikopo hawako na moyo wakutrust, na wameiweka mbele risk ya mkopaji kuwa hana uwezo wa kulipa. So kutokana na hilo wanakuwa na Negativity ktk swala lako lote na hata ushauri...
  15. M

    JamiiForums Tanzania Mandela's 91st Birthday

    Hsaka Mzee anastahili furaha na faraja ya namna hiyo.
Back
Top Bottom