Kwa kuwa huu ujumbe umo katika nembo ya CAF na wala sio nembo ya Umoja wa Afrika, iko wazi kuwa Zanzibar Heroes au Timu ya Taifa ya Zanzibar, inachoomba hapa ni uanachama wa CAF. Mimi badala ya kuutafsiri ujumbe huu kuwa ni "uhaini" kama mmoja alivyodai huko chini, ninaona kama ni "uchochezi...
Haya mambo ya kunyofoa vipandebvya mkataba vipande tu vya vifungu yanaweza kusababisha tafsiri potofuu. Kwa hivyo, ni busara Kwanza kuona Kifungu cha 20 kinasemaje.
Kama ingekuwa hakuna Home and Away, kaburi lenu lingekuwa hapa hapa kwa Mkapa; wala msingeitia serikali hasara kwa kutoa ndege ili mkanywe kahawa. Nashindwa hata kufikiria adhabu ambayo angewapa Mzee Magu angekuwepo.
Karibuni nyumbani KKFC aka Kufa Kiume Football Club.
Ah nilisahau! Kufunga...
Ukinuna, mwenzako anakula. Kwa kuwa kura ya mtu mmoja tu inamfanya kiongozi aongoze nchi, hata tukinuna sote, CCM itaendelea kutesa na kututesa. Katiba mpya ndio suluhisho, tubanane nao hapa hapa mpaka katiba mpya ipatikane.
Kama mpenzi wa Simba, pamoja na kuutaja ukweli wote mchungu na kueleza mapungufu yote uliyoyaona kutoka kwa timu, kocha na mchezaji mmoja MMOJA, Pamoj na msululu wa lawama, BASI HUNA HATA USHAURI MMOJA SIMBA IFANYE NINI ILI IVUKE HATUA HII?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.