Yaani toka ujio wa waziri mkuu mstaafu habari za CHADEMA zimenifanya kuwa kama kila keyboard imekuwa ipo busy na viongozi hawa mara Dr. Slaa kagoma mara Mh. Mnyika naye kagoma mara Mh. Tundu naye kagoma daah mnatuchosha kabisa hata habari ipi iaminiwe sasa kwani kila mmoja akinywa maji ya UHAI...
Tunahitaji katiba ya tanzania iliyotokana na maoni ya wananchi na siyo maoni wa ccm na watawala kwani siye wananchi ndiyo wenye nchi na siyo ccm na serikali iliyo madarakani yenye kila kitu lakini inaiba meno ya tembo yenye kila kitu lakini haina usikivu kwa wenye kuwapa madaraka inauma jamani...
Hii mbona rahisi kwa ccm kupima uzalendo ni kuwa wataajiri wasioweza kuhoji haki zao za msingi katika nyadhifa husika ama nafasi huzi kwani hawahitaji kupima uzalendo katika BRN
Uongozi kwa njia ya vitisho ni uongozi wa kudumu kwa muda mfupi tu. Watu wanapokosoa maamuzi ya kijinga wanatumia haki yao kama raia na wanaweza kuelimishwa kwa nini maamuzi hayo yalifanyika ama namna jambo hilo linalosibu jamii laweza kufanyiwa kazi. Viongozi wanatenda kwa ajili na kwa niaba ya...
Gari aina ya toyota land cruser prado inauzwa ipo arusha na ni imported kutoka japan this month in CC 2690 imetembea km 38502 inatumia petrol na ina piston nne kwa anahitaji wasiliana nami kupitia mail papaking4@yahoo.com
asante
labda ya kule kwa kwenye bembea na safari za nje kwani hivi bado ni waziri wa mambo ya nje ama ni raisi kwani safari zake za nje ni nyingi kuliko hata za waziri wa mambo hayo na pia amawezesha tanzania kuwa ya tatu katika nchi omba omba kwani kila anapozungumzia suala la maendelea anajua njia ya...
unajua CCM akili zimeganda hawana tena wazo jipya la kuwaletea watu wanasubiri wenye akili na wanaojua matumizi yake wakishasema ndiyo wapate cha kusema
habari ndiyo hiyo
wewe nadhani huwa unasoma machache katika vyombo vya habari acha huyu ambaye anasemekana kachaguliwa hajaapishwa tunaywe waziri yupo katika matibabu kabla ya bunge la bajeti mpaka leo hawajathubutu kumuondolea uwaziri na kumuachia ubunge ije iwe huyu jamani watanzania naibu waziri ndiyo...
nani alikuwaambia kuana msimamo wa kichama kwenye suala la taifa huyo nape anatumia masaburi kuwaza wanasimamia mambo ya nje ni serikali ya tanzania inayoongozwa kwa sera za ccm sasa leo chadema watoe msimamo wasitoe inawasaidia nini haswa kwani wanaacha ya msingi polisi kutunyima haki ya...
Inasikitisha kuwa nguvu fedha na hasa fedha hizi zetu walipwa kodi wa taifa hili kutumiwa kutunyanyasa kutudhalilisha sisi sisi tunazitoa inaniuma sana kwani katika suala la kuandamana tunachodai ni kile wao wanachokizuia kupitia siasa za walio madarakani hivi leo hata mtu anayefanya kazi zake...
hello
Nina utashi wa kujua ukweli kuhusu hali halisi ya igunga hivyo naomba mwenye contact za mkuu wa idara ya kampeni ya CHADEMA naomba anitumie katika mail yangu papaking4@yahoo.com ama za mwenyekiti wa mkoa ama wa wilaya hata za mjumbe yeyote wa chadema aliyepo huko igunga
asante
siyo kwamba kujifafanisha na nyoka kuna ubaya kwa jamii ya watanzania ila walitaka watanzania wawaelewe vyema zaidi kwani wao CCM na ufisadi ni damu damu hivyo ni lugha ghani watumie kufunika kombe mwanaharamu apite ili waendelee ni kujivua ghamba na hapa ghamba limevuliwa lakini nyoka toka lini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.