Mzee wangu Mohamed Said,
Awali ya yote nakupongeza kwa kutupa elimu hii.Nina mambo nataka kujuzwa kidogo,
1. Unaweza kutujuza Barua hii ya Prof. Malima kwa aliekuwa rais wa wakati ule ilikuwa ikieleza nini zaidi?Nashangazwa vipi barua ya siri ivuje?
2.Natamani nijue zaidi kuhusu Mr Kenya...
Ni ukweli usiopingika hawa jamaa wana vipindi vizuri vinavyopendwa na watanzania walio wengi.Hata hivyo ujio wa king'amuzi kipya mwezi ujao pamoja na mambo mengine ulizinduliwa na "uwongo" wa kile kilichodaiwa kushusha bei ya malipo ya vifurushi kwa mwezi.
Hata hivyo, wakati nikiwasikiliza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.