Mwenge ni tambiko kuu la taifa hili, na mpaka mwenge huo unawaka watu wengi walipoteza maisha.
Ulikuwa mpango ulioshirikisha watu maalum nchi nzima, kuna wengine (hao maalumu) walikubali kufa Ili mwenge uwake, haikuwa kazi rahisi kuwasha mwenge.
Hakuna siku mwenge huo utazimwa, labda Dunia...
Hapo mama mstaafu anapigwa tukio na professor KY,
Halafu msala utamuangukia aposto japo hajalamba hata mia, aposto ataenda kumtafuta mzee dingi kule kwake atakuta ameshahama.
Na hapo rasmi aposto atakuwa katupwa kwenye maji kutoka kwenye mtumbwi wa vibwengo.
Kaswali kadogo hivo kanakuvuruga nini mzee!!
Au hujui kama mademu wanapenda kusikia wanachotaka(uongo).
Anajua kabisa hutamuoa ila anakuuliza hivyo ili umjibu tu utamuoa halafu anakuambia, mh! Muongo wewe, hapo kasharidhika.
Mwanamke akishaanza kugongwa nje hataacha huyo, hata aombe msamaha huku analia machozi ya kujaza pipa atarudia tu.
Uchaguzi ni wako umsamehe huku unajiandaa kuumia tena na kuja kutulilia hapa! au uachane nae kwa usalama wa afya yako ya mwili na akili.
Manake ukijua amegongelewa tena utajinyonga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.