Huku mkoani Mara kuna mashirika zaidi ya 50 yanayopambana na ukatili wa kijinsia hasa kwa wanawake na watoto.
Wameanzisha vilabu mashuleni ili kuwaelemisha juu ya ukatili wa kijinsia msingi na sekondari. Ukatili wa kijinsia ni pamoja na ukeketaji kwa watoto wa kike
Cha ajabu Disemba hii...
Yaani mwezi umekata karibia Kijiji kizima hatuna umeme ,hiyo huduma ya tabasamu sijaiona, imagine transformer mbili hazifanyi kazi ,shughuli za kijamii na kiuchumi zimesimama , Tanesco Wilaya wapo tu ,wao ni kusema tunashulighulikia hiyo inakuwa imeisha siku zinaenda
Wadau tupo giza totoro kwa mwezi na siku kadhaa kisa transformer imeharibika,na TANESCO wanadai kuwa mpaka walete transformer nyingine
Hivi inachukua muda gani TANESCO kuleta transformer nyingine?
Kuna mtindo wa kuwapa majina watoto kwa kuanza na herufi zinazofanana ,je huu mtindo una faida au hasara au uzungu?
Unakuta mzazi anawaita majina mtoto wa kwanza hadi wa mwisho herufi inayoanza ni D,au E au B
Hasara ni kwamba majina hayazingatii chimbuko lake wala utamaduni wa jamii yake...
Kuna kiongozi anahimiza somo la historia ya Tanzania liandikwe na kufundishwa kuanzia awali hadi chuo kikuu.
Historia ni somo linalohusu matukio yaliyopita ,yaliyopo ili kujenga yajayo na kumwezesha binadamu apambane na mazingira nk NB yakiwemo magonjwa ya mlipuko.
Yaani unakusanya matukio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.