Mkuu kuna watu ni wataalmu wa mikakati hadi huwa namshangaaa,huyu jamaa anakipaji cha plan,,aiseee anaweza kukucholea plan usiamini,,watu kama hawa CCM ikiwapata aiseee,,yani kama kuna inshu inayo itaji kuchora plan ya akili huwa nikimpgia simu tu,utasikia ngoja tutachora ramani,,,,RED fire kama...
Makonda nina jambo naye muhimu sana,sijawah kupata nafasi ya ukaribu wa kumpa anacho takiwa kujua,,pamoja na yote siku akijua hiki hakika atafaha sana,angekuwa mtu wa kusoma comments ningempa mambo haya..
Bado hata usalam wao ni zero mkuu,wanaingia mashambani uko hawana hata viatu vigumu,hata sare hakuna,
Wakajifinze kwa viwanda vyenye management nzuri kama kilombero.
Wamechukua manager wa kilombero aliye kuwa analipwa mil 7 per month,wao wanamlipa 13 mil,bado mambo mengine.
Aiseeeeee
Hiki ni kiwanda cha sukari cha Mkulazi kilichopo Dakawa ni kiwanda tunacho ambiwa kikubwa Afrika Mashariki na kati.[emoji2][emoji2][emoji2] kwa kuzalisha sukari.
Mzee Magufuli alipambania Tanzania ya viwanda na huenda hicho ni moja ya jitiada zake, RIP, lakini kiwanda hiki serikali ya sasa kwa...
Mkuu,hizi ni siasa tu hizi.leo nimepita pale tena nikiwa na dalali wangu wa madini(kila moja akiwaza namna gani amuingize kingi mwingine)nikapita pale,safari hii wanafunzi walikuwepo na uzuri kuna njia ya kupita karibu kabisa na moja ya darasa, nimeona wanafunzi wako chini,walelala humo ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.