Recent content by lyimoc

  1. L

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uchaguzi Igunga leo 25.07.2012

    Imekula kwao magamba mungu akiwa upande wetu hakuna alie juu yetu
  2. L

    JamiiForums Tanzania Ndugu wa Ahmed Msangi: Maisha yetu Hatarini; Hemedi Katumiwa!

    Hao ndio polisi wa Tanzania wamejifunza kuua na sio kulinda raia na mali zao hawajaanza leo tangu Gen. KOMBE Wale wafanyabiashara wa Mahenge na sasa walitaka kumwondoa Dr.ULIMBOKA lakini Mungu mkubwa wamechemka siri zote muda wa kujulikana umefika na kama serikali imehusika...
  3. L

    JamiiForums Tanzania MTEGO wa DR.ULIMBOKA uko tayari...

    Serikali ya ccm pamoja na jeshi la polisi wakiongozwa na kova mmelaaniwa duniani na mbinguni kwa matendo yenu mnayo tufanyia watanzania ,hamna hata aibu mwogopeni mungu
  4. L

    JamiiForums Tanzania Deo Filikunjombe: Mbunge anayefanya makubwa jimboni mwake

    Kamanda big up sana tuko pamoja
  5. L

    JamiiForums Tanzania Kesi ya shambulio la mkuu wa Wilaya Igunga, CHADEMA yashinda

    Kama kawaida yao magamba kwishne wazushe lingine wehu hao
  6. L

    JamiiForums Tanzania Gwajima aishauri Serikali kumkamata Ahmed Msangi

    Kova achie ngazi bingwa wa kukurupuka kaumbuka huyoo
  7. L

    JamiiForums Tanzania Mhariri Jambo Leo afariki dunia

    R.i.p willy
  8. L

    JamiiForums Tanzania PICHA: Zitto akiwa jimboni kwa Msigwa leo

    Ccm kwa sasa ni sawa na ngamia aliefia jangwani na wanajaribu kumfufua na ni kitu ambacho hakiwezekani
  9. L

    JamiiForums Tanzania Natafuta mwanaume wa kuzaa na ikiwezekana kuishi naye

    Wadada elimu inawaongopea .rudi kwenye maandiko "Mungu alipomuumba Adam na Eva hakuweka usawa .hata ungepata mwanaume kutoka mbinguni kama utataka kuwa sawa na mumeo kwasababu ya elimu yako basi hiyo ndoa haitadumu
  10. L

    JamiiForums Tanzania Wananchi Mkambarani Moro watakiwa kuhama kumpisha Mwekezaji

    Wawekezaji gani hao wanaotaka vilivyotayari? Wazee wetu wamehangaika kufyeka pori, kung'oa visiki kwa mikono leo mnataka kuwapa watu fulani ,wapewe mapori wayafyeke na kung'oa visiki ndipo wawekeze na sio mashamba ya wazee wetu .huyo diwani wa ccm hana uzalendo kabisa kama...
  11. L

    JamiiForums Tanzania Mchungaji Gwajima na tabiri zake: 'Tanzania Mpya' inakuja

    R i p ccm mafuriko yanakuja yatasomba kila aina ya uchafu ndani ya nchi yetu nayo itakua safi
  12. L

    JamiiForums Tanzania Wakuu wa Wilaya hawa hapa!

    Tumekusoama kaka
  13. L

    JamiiForums Tanzania Moyo mpweke natafuta mume

    Nipm mimi niko tayari
  14. L

    JamiiForums Tanzania Kutokuwa na imani na Waziri Mkuu, Deo Filikunjombe amuumbua Stella Manyanya

    Big up mheshimiwa Deo
  15. L

    JamiiForums Tanzania JK kukutana na Wazee wa Mkoa wa Dar J'nne kuwaeleza serikali yake haiendeshwi kwa kushinikizwa

    Kama ni kweli bunge limpigie kura yeye hana uwezo wa kuiongoza nchi yetu
Back
Top Bottom