Kwa India ikiwa mpya (3GB RAM na 64GB ROM) inauzwa kati ya Tshs. 380,000 hadi 470,000. Utofauti unatokana na msimu, wauzaji na rangi pia. Kuna rangi ni ghali kidogo kuliko nyingine, kuna msimu una offer nyingi so kunakua na punguzo kiaina.
Mkuu sikuwahi kujua kwamba na wewe ni kilaza namna hii, kwenye hili naomba ukaanze kupimwa akili wewe mwenyewe. Umesahau mwaka jana mpaka nlijifunza Ki-Congo, au ulidhani malipo ni hadi mbinguni?. Wenye uwezo wa kushangilia acha washangilie labda mtajifunza.
Naungana na ww kwenye hili, japo utakua hujatenda haki kama hukumuambia kama una allergy na condom. Pengine hakuona point ya kupima alafu avae condom ingawa usalama ni muhimu kuliko raha ya siku moja itakayoleta majuto ya milele. cutelove,
Ukishakua na tabia ya kulalamika lalamika kila kitu utaona unaonewa, wananchi gani hata uwanjani mnaogopa kwenda?. Alafu Simba ikicheza mnaenda kushangilia wageni, mchango wenu kwenye Yanga ni upi sasa?, kusubiria bakuli au kulalamika?. Acheni hzo bhana.
Tanzania Postal bank waliamua kufanya rebranding kama walivyofanya NMB na CRDB. So neno TPB ni brand name na neno Bank linaonesha huduma inayotolewa. Kwahyo TPB Bank ni sahihi, NMB Bank ni sahihi na CRDB Bank ni sahihi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.