Recent content by Logik

  1. L

    Una swali kuhusu uchawi na uganga? Uliza ujibiwe

    Mtu Mzito, napenda kutumia nafasi kukupongeza kwa kutuelimisha, binafsi nimenufaika sasa. Naomba pia nitumie nafasi na mimi kukuuliza swali 1. Je huwa unatoa dawa pia? Kuna rafiki yangu mzee wake amepooza upande wa kushoto hivyo nilitaka kujua kama unaweza kumsaidia 2. je upo mkoa gani?
  2. L

    WAHI HARAKA - Nyumba Nzuri Sana inauzwa bei nafuu sana

    Sababu ya kuuza, maana seems to be very cheap
  3. L

    Mwalimu kufundisha kiingereza **simba**

    Habari, ninakija wangu nataka ajifunze lugha ya kiiengereza kwa ufasaha, sasa nilisikia kupitia Cloud radio kuna mwalimu anaitwa simba, kama kuna mtu ana taarifa zake anijuze au kama kunasehem wanafundisha
  4. L

    Nyumba ya kupanga inahitajika

    Habari, Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Tangi bove/Afrikana/Jogoo/Mwenge au Makumbusho. Iwe na vyumba viwili vya kulala kimaoja master, sebule na jiko. BAJET NI 170000/= inaweza kuongezeka kutokana na mandhari ya nyumba yenyewe. ni PM kama unayo Asanteni
  5. L

    Jinsi ya ubadili software 32 bit ifanyekazi kwenye 64 bit

    Habari zenu Wadau, Naomba msaada jinsi ya kubadili software kutoka 32 bit kwenda 64 bits. The version of this file is not compartible with the version of Windows you're running. Check your computer's system information to see whether you need an *86(32-bit) or *64(32-bit) version of the...
  6. L

    Kiwanja kinahitajika; tegeta/boko/bunju/goba/mbezi juu/makongo/salasala.

    Naomba unipe Bei ya 798 na 700 na je vimepimwa?
  7. L

    Plots mabwepande

    Wadau nilipata taarifa ambazo hazikuwa kamilifu kuwa Wilaya ya kinondoni inatarajia kuuza Viwanja maeneo ya Mabwepande, Mwenye kujua naomba anijuze taratibu ziko vipi.
  8. L

    Boot menu

    Zote ni Lenovo
  9. L

    Boot menu

    Ndiyo window niliinstall kwenye PC nyingine
  10. L

    Boot menu

    Wadau nina laptop aina ya LENOVO (ThinkPad) mpya niliitoa hard disk ilinifanye installation baada ya kushindwa kuboot from CD, baada ya kuinstall window na kuirudishia kwenye laptop ina display vitu vifuatavyo bila kufika kwenye window Boot Menu( ATAPI CD0: MATSHITADVD-RAM UJ8CO, ATA HDD0: HGST...
  11. L

    Ugonjwa wa kiharusi/ kupooza (stroke): Kinga, tiba na jinsi ya kukabiliana na maradhi haya

    Habari Zenu Wanajamii, Baba yangu anasumbuliwa na ugonjwa wa kupooza toka Mwaka jana, amepooza upande wa kushoto ila hakuahtirika kichwa, vilivyo athirika ni Mguu na Mkono. Tumenda kwa Wataalam tofauti wa wakienyeji na mahospital bila mafanikio. Kwa sasa mguu na mkono wake umekakamaa kiasi hata...
  12. L

    Msaada kuhusu gari aina ya Noah

    Habari WanaJF. Nina mpango wa kununua Noah, naomba kujuzwa je, ni aina gani ambayo ni imara na inakula mafuta vizuri ambayo naweza kuitumia kibiashara na mambo ya nyumbani. Jisikie huru kuambatanisha link kama mada hii ilishajadiliwa. Shukrani
  13. L

    Kiwanja chenye hati kinahitajika

    Habari zenu wadau, Kuna rafiki yangu m1 anahitaji kununua kiwanja chenye hatii ukubwa angalau 25*35 maeneo ya Tegeta, goba,Bunju, mbweni, mbezi mwisho, kimara, kibamba na kibaha bajeti yake ni Mil 5. mwenye nacho anijulishe ili nimpe mawasiliano na huyo jamaa. Yeye yuko ni mjeda yuko mkoani...
  14. L

    Front Page ya Gazeti la Uwazi

    Binafsi huwa siyafatilii sana magazeti ya Global Publisher. Hivi kuna mwandishi wa habari kutoka Global publisher aliyepata Zawadi kwenye Tamasha la juzijuzi la waandishi wa habari?
Back
Top Bottom