Mtu Mzito, napenda kutumia nafasi kukupongeza kwa kutuelimisha, binafsi nimenufaika sasa. Naomba pia nitumie nafasi na mimi kukuuliza swali
1. Je huwa unatoa dawa pia? Kuna rafiki yangu mzee wake amepooza upande wa kushoto hivyo nilitaka kujua kama unaweza kumsaidia
2. je upo mkoa gani?
Habari, ninakija wangu nataka ajifunze lugha ya kiiengereza kwa ufasaha, sasa nilisikia kupitia Cloud radio kuna mwalimu anaitwa simba, kama kuna mtu ana taarifa zake anijuze au kama kunasehem wanafundisha
Habari,
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Tangi bove/Afrikana/Jogoo/Mwenge au Makumbusho. Iwe na vyumba viwili vya kulala kimaoja master, sebule na jiko. BAJET NI 170000/= inaweza kuongezeka kutokana na mandhari ya nyumba yenyewe.
ni PM kama unayo
Asanteni
Habari zenu Wadau,
Naomba msaada jinsi ya kubadili software kutoka 32 bit kwenda 64 bits.
The version of this file is not compartible with the version of Windows you're running. Check your computer's system information to see whether you need an *86(32-bit) or *64(32-bit) version of the...
Wadau nilipata taarifa ambazo hazikuwa kamilifu kuwa Wilaya ya kinondoni inatarajia kuuza Viwanja maeneo ya Mabwepande, Mwenye kujua naomba anijuze taratibu ziko vipi.
Wadau nina laptop aina ya LENOVO (ThinkPad) mpya niliitoa hard disk ilinifanye installation baada ya kushindwa kuboot from CD, baada ya kuinstall window na kuirudishia kwenye laptop ina display vitu vifuatavyo bila kufika kwenye window Boot Menu( ATAPI CD0: MATSHITADVD-RAM UJ8CO, ATA HDD0: HGST...
Habari Zenu Wanajamii,
Baba yangu anasumbuliwa na ugonjwa wa kupooza toka Mwaka jana, amepooza upande wa kushoto ila hakuahtirika kichwa, vilivyo athirika ni Mguu na Mkono. Tumenda kwa Wataalam tofauti wa wakienyeji na mahospital bila mafanikio. Kwa sasa mguu na mkono wake umekakamaa kiasi hata...
Habari WanaJF.
Nina mpango wa kununua Noah, naomba kujuzwa je, ni aina gani ambayo ni imara na inakula mafuta vizuri ambayo naweza kuitumia kibiashara na mambo ya nyumbani. Jisikie huru kuambatanisha link kama mada hii ilishajadiliwa.
Shukrani
Habari zenu wadau,
Kuna rafiki yangu m1 anahitaji kununua kiwanja chenye hatii ukubwa angalau 25*35 maeneo ya Tegeta, goba,Bunju, mbweni, mbezi mwisho, kimara, kibamba na kibaha bajeti yake ni Mil 5. mwenye nacho anijulishe ili nimpe mawasiliano na huyo jamaa. Yeye yuko ni mjeda yuko mkoani...
Binafsi huwa siyafatilii sana magazeti ya Global Publisher. Hivi kuna mwandishi wa habari kutoka Global publisher aliyepata Zawadi kwenye Tamasha la juzijuzi la waandishi wa habari?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.