Ninafkr tujifunze kuwa watu wenye kufkr na kutafakar kwa kina, badala ya kutafakar kishabik na kihisia, ukwel mabadiliko yanatakiwa Tanzania cyo tuu ya kiuchumi na kisiasa bali hata baadhi ya wa tz wanahita kufanyiwa mabadiliko kwenye mfumo wa namna ya kufkr na kuamua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.