Nimepita group moja ya WhatsApp nimekutana na hii post. Je ina ukweli ndani yake. Je ina maana privacy/end-to-end enryption hakuna tena?
Hii hapa👇
Hapa kuna mabadiliko muhimu kuhusu sheria mpya za mawasiliano kwenye WhatsApp na simu za WhatsApp (simu za sauti na video) ambazo zitatekelezwa...
Unataka kuniambia kuwa Watanzania million 10 tu ndio wako over 18?
Je serikali haiwatambui walio chini ya 18 kama raia?
Kwanini kitambulisho cha utaifa kisitolewe kwa kila mtu hata mtoto anapozaliwa?
Huna akili mbuziii.
Kuongezeka kwa MRI ni tija? Je masikini waiojiweza wana access ya hizo amchine.
NHIF wamepunguza huduma kwenye bima. Ingekuwa kaleta bima ya afya kwa wote angalau ningeona ni tija.
Nichagueni niwe rais nitaleta bima ya afya kwa wote buree.
Mbunge anatibiwa Apolo huku mlalahoi anatembea na...
Sio kirahisi hivyo. Jamaa wakiingiza tu infantry (vikosi vya ardhini) Gaza kitanuka. Iran wamesema wataigeuza Gaza kuwa makaburi ya hao waisrael. Wakati huo Hezbollah anaendelea kumtandika Israel kutokea Lebanon.
Israel atakuwa anashambuliwa kutoka kila upande na ujue pia leo wamelipua runway...
Kuna sister mmoja yeye alikuwa mpangaji kwetu. Alikuwa mjamzito na alikuwa anakunywa sana pombe tena kali hizi.
In the end alipata miscarriage. Nae pia alikuja kufa kwa ajali ya toyo akitokea kwenye harakati zake za pombe. Sadly ameacha watoto wawili wakike mmoja alipata ulemavu (5 years old)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.