Mkuu nisiwe mnafiki,Mimi sijaona nguo nzuri apo ya kuuza bei unayouza.Nakushauri nunua za grade ya juu zaidi.Nway nakutakia kila la kheri na mapambano.
Ahsante sana Mkuu.Mungu akubariki.Cheti kwangu sio muhimu sana nachotaka ni ujuzi tu au unamaanisha cheti unapata ila hujaondoka na kitu kichwan?wapo sinza sehem gani?
Natafuta chuo kinachofundisha ufungaji wa cctv cameras na mambo mengine yanayoshabihiana.Mwenye kujua tafadhali naomba msaada.Kuna sku niliskia kwenye radio wanatangaza bahat mbaya sikujua ni radio ipi coz nilikua napita mtaani.
hili limenitokea mm,bahat nzuri nimesajili nimefika kuendelea system ikagoma,baada ya cku kupita ikafuta jina langu nikaanza kusajili upya nakuta jina langu tayari lina watu zaid ya mmoja.
imebidi niwe mpole tu.
Cha ajabu wameweka namba zao zaid ya tatu ambazo hazipatikan milele daima.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.