Samahani kwa kudandia hoja. Ila nami nina tatizo hlo hlo la sikio huu mwaka wa 20 sasa
1.ni la kushoto.
2.linatoa usaha hasa sehemu za baridi na kama kuna mawingu mazito
3.likiingia upepo tu,silali
nb.nimetumia dawa nyingi mfano mafuta ya kuku,simba,mbuni na punda.Pia nimetumia dawa za...
Mkuu hiyo mbona inawezekana tena sana tu.Na siyo wakenya tu hata mataifa mengine wamefanya hivyo.Kuna jamaa mmoja ni Mzambia,ameoa Mtz na ana nyumba na viwanja tanzania kupitia dada yetu wa kitanzania.
Mkuu ni typing error lakini imeeleweka hata kama ni kando kando ya mto,lile eneo lina chemchem na walipokuwa wanajenga palikuwa panatitia.so in that sense,eneo lile linachangia uwepo wa maji kwenye mto themi,usitoke nje ya mada tafadhali.tuendelee kupata mawazo mbadala,hasa kutoka kwa wana...
Mkuu yaani N/W amenukuliwa hivyo kuwa hiyo hotel iko kando kando ya mto na akahoji jeuchafu unaotokana na hoteli hiyo hasa maji machafu yanakwenda wapi na akafika mbali kuwa wakzi wa chini yaani huo mto unakotiririka wanakunywa ama kutumia maji yenye uchafuzi.nadhani nimeeleka,hoja ni je ni hii...
Habari za leo,wakuu!
Katika kupitia pitia magazeti leo,kuna gazeti moja limemnukuu N/W Ardhi na Maendeleo ya makazi kuwa majengo yote yaliyojengwa kando kando ya mito mjini Arusha yabomolewe akilitolea mfano naura spring hotel iliyopo kandokando ya mto themi.Hili jambo lishapigiwa kelele sana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.