Nilipata sana changamoto wakati wa kuchagua bati, finally niliamua kukata kauli kwa kununua kampuni ya kiboko, bati zao ziko vizuri sana thickness yake nimeipenda kwakwel, pia bei yao ni affordable sana versatile brick red 28g nakumbuka nilinunua 48000tsh hiyo ni mita 3
Acha kudanganyika, hakuna choo ambachohakijai, vyoo vyote vinajaa, kuchelewa kujaa kunatofautiana na ukubwa wa shimo tu, zingine ni mbwembwe tu, Hivyo wanavyosema vya kisasa/havijai tangu vianze hata miaka kumi bado haijafika sasa walitegemea vijae miaka mitano tu???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.