TAMKO LA VIJANA WASOMI WA VYUO VIKUU WA MKOA WA DODOMA, KUHUSU KITENDO CHA BAADHI YA WABUNGE WA CHADEMA KUTOKA NJE YA UKUMBI WA BUNGE
kifupi walitoka wote baadhi ni akina nani?
kama umesoma chuo cha kata si dhani kama tamko hili litatushangaza, wapo walioingia vyuo kama hivyo kwa kapu, huwezi kuwa na uwezo wa kuchanganua mambo na kushindwa kulielewa hata hili , unatoa tamko wewe kama nani?
Ebwae kuna jamaa mmoja alikuwa anaendesha kipindi STAR TV anaitwa Paul Mabuga sijui ni mtangazaji au nini naomba wakuu wa STAR TV walejee CV yake nina doubt kama ni mwanahabari kwani hata waalikwa ni wastaarabu kupindukia kwani ningekuwa mimi ningemchapa vibao.Jamaa ni mshabiki wa CCM mpaka...
Kumbe kuna wa tz bado ni mbumbumbu....wewe kiherehere unachoilaumia CUF ni nini?....hii jf imeingiliwa na watu viherehere..... unajua maana ya iyo nick name yako?...bora ukae kimya tu mtu wg kama huna cha kuongea....shame on u!
Hata mimi nilikuwa mdau wa clouds FM ila Kibonde anatia kinyaa anajifanya mutch know sana. People's station naomba mchekini kibonde kwa karibu. Kama vp aende shule ya habari kwani anasikilizwa na watu wengi. Wengine wote fresh sana. G habash kibonde anakuaribia kipindi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.