Kuna haja ya serikali yetu kufikiria kwa kina kwamba ni wapi tunaelekea na wananchi wako katika matatizo yapi. Ni juzi juzi tu kulikuwa na walsha ya KILIMO KWANZA, je wakulima watakuwa na maisha gani iwapo sehemu za kilimo hakuna miundo mbinu halafu leo hii unajenga njia nne...
Pole ndugu green29, ila kwa ushauri wangu jaribu yafuatayo; mwambie wife kuna jamaa yako ulimpa email yako na yake(wife) hivyo ametuma msg (very urgent)lakini kupitia email ya wife, mwombe akutumie password yake ili uweze soma hiyo msg. Huo ndo ushauri wangu.
Mwanatanu na Bubu msemaovyo naomba muelewe kwamba hawa watu hawakuanza jana, ni kwamba hata madaraka ya nchi yanakwenda kwa urithi. Hivyo kama ni mzee au babu alishakuwa madarakani basi ni wazi hata wewe watakutafutia mahali pazuri ili ule.
Hapo kweli mh kachemsha, naomba ajue kwamba huo ndo usanii, kwani hata kina steve nyerere wanaigiza hadi viongozi wa dunia iweje mh. aone sauti yake ni gharama. Acha vijana wakomaze usanii wao na sio kuwapa vitisho.
Nadhani sasa wakati umefika tuanze kuwakana hawa wana jf wanaojiita sisiem, mtu anatoa hoja ya mafisadi halafu anamention kuwa nae yumo ndani ya Chukua Chako Mapema anakuwa na maana gani? Nafikiri wana jf wengine ni watoto hawajui la kuzungumza na nafikiri kati ya wapambe wa huyo R basi na wewe...
Nafikiri hao ze comedy wana upeo mdogo, na kumbukeni mwenye upeo mdogo ni rahisi kutumiwa na wazito maana hajui nini maana ya ufisisadi na jinsi wananchi wanavyoishi katika mazingira duni. Sanaa ni kuelimisha na sio kuibomoa jamii. Ni hayo tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.