Kuna mtu mwenye fununu kuhusu kuhujumiwa kwa TTCL na wakubwa na baadae kuundwa Celtel Tanzania Ltd na hatimaye kuisababishia maisha magumu TTCL yanayo ikabili sasa
mi naona kazi ni ngumu kwani kumtemesha mtu chakula ni ngumu sana,ila ngoja tusubili tuone.JK naye akichagua sana hawezi kuwapata mawaziri walio timilika kwa sababu kila waziri anatuhumiwa kwa njia moja au nyingine kuhusika na ufisadi
Nahisi mzee Zero atachuana na mfugaji ,lakini mfugaji anayo nafasi nzuri kwa sababu tiyari yupo kwenye system pia kunaweza kuibuka makundi mengine ndani ya chama cha mafiluni maana wao wapo kama mafisi maji yaonapo uchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.