Recent content by Kitia

  1. Kitia

    Naomba msaada kuunganisha TP Link router na Vodacom 4G Modem

    Nimefanya hivyo lakini hakuna kinachotokea. Taa ya usb kwenye router haiwaki kuonyesha kuwa modem haijatambuliwa!
  2. Kitia

    Naomba msaada kuunganisha TP Link router na Vodacom 4G Modem

    Naomba msaada wa kuunganisha router ya TP Link na modem ya 4G ya Vodacom. Nikiunganisha modem moja kwa moja kwenye laptop napata internet, ila nikiunganisha na router hakuna internet. Natanguliza shukrani.
  3. Kitia

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Naomba msaada wa kuunganisha router ya TP Link na modem ya 4G ya Vodacom.
  4. Kitia

    Kufungiwa CCTV camera

    Digoo DG-M1Q 960P 2.8mm Wireless Mini WIFI Night Vision Smart Home Security IP Camera Onvif Monitor Kama unaweza kuipata hii ni nzuri sana na bei yake ni rahisi. Mimi naitumia.
  5. Kitia

    Cement ya pakstani

    Mkuu hii thread nzuri sana.
  6. Kitia

    Zitto, Ulimwengu, Shivji na Jaji Mkuu wa Kenya ndani ya Nkrumah Hall - ITV Live

    Ndiyo historia, kwa vizazi vijavyo ili vielewew uhalisia wa hali iliyokuwepo. Hata mimi nimejifunza leo kitu ambacho nilikuwa sikijui.
  7. Kitia

    Zitto, Ulimwengu, Shivji na Jaji Mkuu wa Kenya ndani ya Nkrumah Hall - ITV Live

    Ameelezea vizuri hasa pale kwenye miiko ya viongozi pamoja na wanachama wote kwa ujumla. Ingefaa aandike kitabu.
  8. Kitia

    16 Channel DVR

    Uliweza kuangalia bei za hizo camera na specs zake?
  9. Kitia

    Wanted: KIDDLE PAPERWHITE

    Hii ni nyongeza tu. kwa watumiaji wa kindle, unaweza kuweka vitabu vyko humo kwa kutumia hii application ya Calibre: calibre - Download for Windows
  10. Kitia

    16 Channel DVR

    Ha wanauza vifaa vyote vya cctv?
  11. Kitia

    16 Channel DVR

    Mkuu unaweza kunipa specs za system yako? Unatumia camera zenye specs gani? Je dvr yako ina hard disk ukubwa gani? Ni nini changamoto unazozipata? Nauliza hayo kwa sababu na mimi nina mpango wa kuweka cctv kwenye makazi yabgu.
  12. Kitia

    Taa ya Solar Wakawaka

    Kwa yule ambaye anahitaji hizi taa na anaishi Dar es salaam anitumie PM.
Back
Top Bottom