Hongera wazo zuri ata mimi nilishakuwa na plan on paper kuhusu hii project .nakushauri tembelea website ya nactevet utapata yote au nenda nactevet ofice kwa consultation
kuna nchi zaidi ya 37 ambazo ni islamic kiuongozi africa na asia sasa tungechukua hata chache hata 10 kama sample ili tufanye analysis na conclusion ya hoja. Kuhusu kukemea maovu kuna baadhi ya iman hawafuati quran lakini miongozo yao na iman zinakataza uovu je na wao wakisema tufuate iman yao...
wajifunze kwa maafisa habri bora kama Thobias Kifaru, Masau Bwire. Dismas Ten, Jafar Idd Maganga. Deokaj Makomba, Juma Nkamia, maafisa habari wa timu za majeshi nk
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.