Waswahili tuache unafiki na rohombaya hii website ni mzuri inashare mzuri nimeshare kwa ndugu na jamaa ila Jonson sio kwamba na kuchafulia ungekua mzungu hivi watu wangekuwa wanakesha kwenye website yako arafu mtu anakuambia Ramani usimpe mtu Ramani kakuungisha nini nendeni ubarozi pale upanga...
Wabongo tunafeli pakubwa sana huyu jamaa ana access sawa na Beforward na SBT tatizo utamaduni wa kudhamini wageni pia unatuponza hawa wapakistani Be forward na SBT wameteka soko la Tanzania na nchi jirani hivi kweli mpakistani anaweza kunisaidia chochote hadi nimuungishe hii kitu inafikirisha sana.
Labda fanya marekebisho kwenye registration form kwasababu nimeandika user name Jasusi mweusi ikaniambia maneno mengi sana nika force nika submit tena ikakubali kama inataka kuwapingia users majina gani watume.
Nipitia bandiko zima mwanzo mwisho ushauri mwingi ni feki usiufate akili ya kuambiwa changanya na yako.
Tatizo sio business plan wala website tatizo ni muda wabango kunasiku wataacha ujinga wanapenda sana shobo na ujinga ujinga mwingi nfano watu kama Doto Magari wanakitu gani cha maana,wewe...
Hapo kuna platforms ambazo wauzaji wa bidhaa wakikwa sehemu mbalimbali ikiwepo Japan South Africa Dubai Tanzania wamejisajili pale kwenye online platform wengi ni Watanzania wanaushi nje ya nchi na wanatangaza na kuuza bidhaa zao kupitia pale.
Unaweza kumtafuta seller moja ukamwambia unataka...
Hii kitu bwana Wabongo wanapenda lawama jonsonjohn kupitia kwenye website yake wwww.digxam.co ametafuta sana watu kwajili ya kufanyia connection ya kuingia Japan watu kamkataa baada ya mwezi akafuta akaona ujinga leo watu wanalaumu nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.