Ukiona hivyo ujue kuna tatizo LA msingi, umeshaongea nae kwanza kabla ya kuleta malalamiko yako hapa? Kwa wale waliosoma physics tunajua Newton First law of Motion..tafsiri Yake hakuna kitu kinaweza kutoka sehemu moja hadi nyingine bila kuwa na msukumo wa nje! Kwa hiyo na wewe mjiangalie, haya...
18.-(1) Bila ya kuathiri sheria za nchi, kila mtu yuko huru
kuwa na maoni yoyote na kutoa nje mawazo yake, na kutafuta,
kupokea na kutoa habari na dhana zozote kupitia chombo
chochote bila ya kujali mipaka ya nchi, na pia ana uhuru wa
mawasiliano yake kutoingiliwa kati.
(2) Kila raia anayo haki...
Huo mto ni wa masika tuu, ila kwenye huo mto kunasimama maji muda wote wa mwaka, nilihakikisha nimelinda miti iliyopo pale kwa upande wangu haijaguswa, kwa hiyo kuna maji ya kumwagilia muda wote. Na kuchimba kisima pale ni rahisi tuu in case unahitaji.
Kuna ambaye ameuliza kwa njia ya simu hatua za upimaji zimefikia wapi, na kama lipo kwenye swap area. Shamba hili halipo kwenye swap area, lipo kwenye side ya mto ambao maji hayafiki kabisa. Hatua iliyofikiwa kwenye upimaji ni kwamba, Halmashauri ya Kibaha imetoa kibali cha kupima na...
Kwa yule aliye serious tunaweza kukubaliana namna ya kulipa sio lazima zilipwe zote kwa wakati mmoja, ila at least zilipwe zaidi ya nusu kwa mara ya kwanza.
Shamba zuri linauzwa Kibamba (linatumika kwa sasa kulima mboga, limepakana na mto Kibwegere), Ni eneo ambalo linaweza kutumika kwa Makazi au kulima mboga mboga au kwa ufugaji. Lina Hati ya Kijiji, na muhtasari wa kijiji ulitolewa na Halmshauri ya Kibaha imeshatoa idhini ya kuanza kulipima. Kwa...
Hiyo Rombo yako sijui ipi, mimi nimeishi Rombo tokea mwaka 1981, nyumbani nilikuta bomba la maji na sikuwahi kujuwa lilifungwa lini na hadi wiki tatu zilizopita nilikuwa huko sikujaona bomba likiwa halina maji. Ninakubali kuna maeneo ya mashariki yanayopakana na Kenya yalikuwa na shida ya maji...
Hello wana JF,
Nilikutana na marafiki zangu wakiwa wamejiandikisha kwenye vituo tofuati na wanavyoishi wengi wakidai kuhusu foleni na changamoto zilizokuwepo kwenye zoezi la uandikishaji. Kwa hiyo wengi wakaamua kujiandikishia kwenye vituo ambavyo waliona havina watu wengi. Nilipowauliza kama...
Jamaa wa NEC walitoa ufafanuzi ya Jana kwenye kipindi cha kipima joto ITV ya ya kwamba , unaweza kucheki taarifa zako pale utakaposikia nkoa wako umetajwa ya kwamba wameshabandika daftari na sio vinginevyo. Pili walisema namba hii inasaidia kuondoa usumbufu wa kwenda kwenye ofisi...
Ni vema wakajua yaliyojiri huko kwenye majadiliano. Isije ikawa alifunguliwa ukarasa wa mambo yake ndiyo akajiona ya kwamba kumbe watu wanajua kila jambo lake ndo akapata pressure akaanza kuumwa. Inawezekana aliona sasa hapa ameshajulikana kila kitu na haenda hakuamini ya kwamba watu wana data...
Hello Wadau,
Kwa siku za hivi karibuni kumekua na ongezeko kubwa la waendesha pikipiki aka bodaboda. Hatukatai ni ajira ambayo imewawezesha vijana wengi kujiajiri. Ila tutambue ya kwamba kitu chochote kisipokua na control ya kutosha kinaweza kikawa ni tatizo kubwa. Siku za hivi karibuni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.