Kwenye vyombo vya habari viongozi mbalimbali wamekua wakisifia kiswahili yakua sasa kinafundishwa nchi za mbalimbali marekani hata uchina.
Ona hapa kwenye tangazo la ajira la tamisemi kiingereza ndo kimepewa kipaumbele kiswahili hata kidogo
Peleka mtoto shule kulingana na urefu wa kamba yako zipo shule za mtaa wako, kata yako,kata jirani, wilaya, mkoa au mkoa mwingine nk kila shule ni nzuri tu maana vyeti havitoi ajira sikuizi ni connection
Unataka kuniambia serikali inayohudumia vituo vya afya haijui idadi yake? Shule haijui idadi kila siku inahudumia? Tabu za maji, umeme na barabara mbovu haioni, hali za watu kuwa masikini haioni? Wacha porojo wewe
Nilishawahi kukamatwa mara tatu na zote sikua nahusika, si watetei panda Road ila kunawengine uenda muonekano wao ukawapoza na kupoteza maisha bila hatia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.