Recent content by kifuniboy

  1. K

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Nchi pekee Duniani ambayo Wasomi hutundika Shahada zao na kutumikia Ujinga

    Kwa upuuzi aliouandika anastahili kufungiwa walau kwa ka mwaka kamoja.
  2. K

    JamiiForums Tanzania M23 warudi nyuma, Rwanda yapeleka Jeshi mpakani, Rais Mseveni aitisha kikao cha dharura Kampala!

    Jk asiende kampala kabisa. We need our president. Sioni haja ya kuwa na kikao kitakachosimiwa na museveni. Afterall museveni ni partiner mkubwa wa pk na hana busara bali ubabe. Ninasema hivyo kwa sababu kwa kipindi hiki kilivyo tata hakungekuwa na sababu ya yeye kuungana na kagame mara moja...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru

    Mkoma Nyani Giledi
  4. K

    JamiiForums Tanzania Tujikumbushe Mabasi ya abiria ya zamani tokea tupate uhuru

    Mkoani Nyani Giledi. Hilo lilikuwa linasafiri Kay ya dar na kisarawe . Waliosoma Pugu na Minaki miaka ya 80 wanaweza wakalikumbuka.
  5. K

    JamiiForums Tanzania Uvinza: Makubaliano kati ya NCCR Mageuzi na CHADEMA kuunda Halmashauri yatibuka!

    Sikutegemea wana NCCR Kigoma wako be ushauri wa kuongoza halmashauri makao makuu kwani wanajua fika hata Mbatia ataungana na CCM ili achukue nuenyekiti. Mbatia anaogopa atapiga gumbo gani na aliemteua.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Kwa nini barabara ya bagamoyo (mwenge - kibaoni) imesimama? Tujulisheni pls

    Barabara hii imesimama kwa muda mrefu sana kuna nini?
  7. K

    JamiiForums Tanzania Dada Juliana Shonza, haya ni ya kweli?

    Duuuh.!! mimi ninapita tuuu.
  8. K

    JamiiForums Tanzania Absalom Kibanda (Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri) avamiwa na watu wasiojulikana na kujeruhiwa

    Duh! Hili tena ni jambo zito. Tuombe Mungu isijekuwa ni mwendelezo wa yale ya Dr Ulimboka. Kijan mahiri kwenye kazi yake naona hatakiwi. Watabaki akina nani jamani???????????????
  9. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania March 04 2013: Kenya's historic poll - Kenya decides!

    kweli mkuu http://elections2013.nationmedia.com/president.html
  10. K

    JamiiForums Tanzania Sheikh Farid wa Uamsho 'atekwa nyara' visiwani Zanzibar

    FACTS, haya makundi kama UAMSHO, ALSHABABHU, ALQUEDHA,BOKOHARAMU, HEZBHULLAR, HAMAS, TALLEBHAN N.K ni makundi ya kishetani ambayo kwa udhaifu na Mapungufu makubwa kwa dini ya kiislamu yameweza kujiingiza na kukubalika na hata kupewa nafasi ya kutoa mawaidha misikitini hata kuweza kuaminisha...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Sheikh Farid wa Uamsho 'atekwa nyara' visiwani Zanzibar

    Waislam watamalizana wenyewe kabla jeshi halijaamua kuingilia kati, Jamani mtu asikunyime elimu manake ni kama kukupa kitanzi.,tusubiri tuone.
  12. K

    JamiiForums Tanzania Sheikh Farid wa Uamsho 'atekwa nyara' visiwani Zanzibar

    Waislam watamalizana wenyewe kabla jeshi halijaamua kuingilia kati, Jamani mtu asikunyime elimu manake ni kama kukupa kitanzi.,tusubiri tuone.
  13. K

    JamiiForums Tanzania Sheikh Farid wa Uamsho 'atekwa nyara' visiwani Zanzibar

    Katoriki ndiyo dini gani kiongozi./. nayo pia ipo Tanzania hi hii.!!!!
  14. K

    JamiiForums Tanzania Sheikh Farid wa Uamsho 'atekwa nyara' visiwani Zanzibar

    'Hawajapanuka Kimawazo' unamaanisha nini.?. Bayana acha utani na Uislamu bhana.
  15. K

    JamiiForums Tanzania Sheikh Farid wa Uamsho 'atekwa nyara' visiwani Zanzibar

    Mapadri Siyo mashekhe huwa hawaendi mitaa michafu kula kitimoto.pia sehemu wanazokaa Mapadri/askofu ibilisi hawezi kuingia kwani kwake ni kama jehanamu.
Back
Top Bottom