Huo ndo ukweli Jizalendo hii tabia imezidi mpaka kupitiliza.Tumtumie Mahita km mfano kwa wengine km yeye ambao ni wengi! Hana pa kukimbilia mambo hadharani!
There's no need for name calling,one can contribute when feels so.
Mwalimu alikuwa mmoja wa viongozi wenye kipaji,lakini kumfanya untouchable nadhani hatujengi utamaduni mzuri kwa taifa letu.Utamaduni wa kutotofautisha critism na disrespect hautusaidia(kumbuka mapanki&Kikwete katuni).
Mimi...
Unayosema Fduni ni kweli lakini mtenda kosa kakosa na mrudia kosa vilevile,kwa hiyo Magufuli ninaamini you're responsible person .......tunahitaji maelezo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.