Ukishajua kwamba simu ni communication na communication ni relay of information kwahio ukiwa unaongea na mtu hata kama ni mzazi wako current information ni known (unajua mnaongelea nini) na nyingine ikiita hata kama ni unknown number unaweza kumwambia unayeongea nae sasa kwamba ngoja upokee hii...
Utafiti huo una walakini sababu na sewage system ya hapa Bongo we are Shitting where we are eating..., kwahio wale wenye pit latrines kwangu mimi ni bora kuliko wale walionganishwa kwenye maji taka ambayo yanapelekwa kwenye vyanzo vya maji bila treatment ya kutosha au wale watapisha vyoo....
In...
Government / Serikali zaidi ya yote ina-offer Security mpaka ufukuzwe kazi kweli wewe umezidi.... Ndio maana wataalamu walishakuja na Jibu kwamba Money does not Motivate..., Ukimwongeza mtu pesa baada ya muda ataona hio pesa ni halali yake atataka zaidi na zaidi na zaidi...
Kuna vitu kama Job...
Ni Vema na Haki lakini isijekuwa hizi Hafla tunazilipia..., Na hapo itakuwa si sawa sababu sahizi naona ni any excuse for a Party.... Party after Party..., Bumper to Bumper...
Kuongeza muda nikae zaidi ya siku moja....; Mabadiliko ni muendelezo huwezi ukafanya long term plans in short term...; Kwahio Viongozi inabidi watekeleze kilichoshapangwa na wadau sio kubadilisha au kufanya wanachotaka....
Zinahitajika systems / Taasisi za kuweka infrastructure rafiki ili...
Kwahio Samia akifanya au asipofanya right inakuwa wrong or vice versa ? Mbona tumekuwa watu wa kuunganisha mambo pasipo muunganiko ?!! Ukisema mbona Samia hafanyi unamaanisha akianza kufanya na wengine wafanye ?
Kwanini tusisimamie haki no matter the circumstances....
Kwahio sababu hapa Samia...
Juzi niliongelea suala moja mtu anapoandika UZI tena kwenye Heading alafu kuna ambiguity kuhusu facts anapunguza credibility ya kilichoongolewa
Moja nimecheki UZI Husika katika page ya 900; post ya mwisho ni namba 17,991 mpaka dakika hii kwahio posts zote ni hizo....
Mbili tukija suala la...
Na huo ni mkopo ambao tutalipa na tunakopa kuifanya Dar iwe kama Dubai Kweli na hii inferior mentality tutaendelea kuwa mediocre..., Kwanini watu wasiseme tuifanye nchi yetu iwe kama Tanzania ?!!!
Hatuna hata identity....
Ukishakuwa na perception ya kwamba unatawaliwa / utawala ni sawa na sio kwamba hawa ni watumishi wetu tunaowalipa na tumewapa vyeo kama dhamana utaendelea kuona kila kinachofanyika ni Hisani na sio wajibu..., hence hata ukipewa pungufu utashukuru na sio kuhoji kwanini hakiendani na malipo...
https://www.jamiiforums.com/threads/uchumi-mamboleo-timu-haijengwi-na-washambuliaji-pekee.2125056/
Shukuru watu wanaongelea Mipira (An Opium of the Mass) Huenda wasiongeongelea Mipira wange-turn kwenye Imani nyingine (Na Since Mipira hio angalau inasaidia Uchumi basi ni vema) Wa kulawaulumu ni...
Ushauri mara nyingine ukitaka kubisha kitu anagalau tafuta Data au hata uwe unasoma kilichoandikwa.... Mwanzo Vijijini inapopeleka REA ilikuwa 27k na pengine mpaka kwenye laki tatu na ushee anapopeleka Tanesco Awamu ya tano wakasema wote bei itakuwa hio (27K)..., Samia alivyoingia bei...
JPM alibadilisha kila mtu atoe hio na sio vijijini pekee Samia akaja akasema itaendelea baada ya hapo kama yalivyo mambo mengi ya wanasiasa kilichosemwa tofauti na kilichotokea (Januari akapindua Meza)
Pitia hapo Privatisation only serves public interest if and only if kunakuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.