Yaani siri zilikuwa zinamilikiwa na kikundi cha watu wachache, then sasa hivi tunazijadili mitandaoni bado unaita ni siri? Hizo zinaitwa siri huwa zinalindwa by any cost, na kama ikionekana kuna viashiria vya kuvuja basi watakkuja na propaganda kibao ili to neutralize the situation.
Best answer ni " NIPENI MTAKACHOJISKIA", jokes.
Unaweza ukawajibu ifatavyo: "Nafahamu kiasi cha mshahara kinalipwa kutokana na sababu nyingi ikiwemo majukumu ya kazi husika, bajeti pamoja uzoefu wa mtu. lakini kwangu mimi naangalia kiasi ambacho kinaweza kunisaidia kukidhi mahitaji yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.