Recent content by kauzu pipo

  1. K

    Wa mwisho ndiyo mshindi

    mawazo ya viongozi a ccm ni ya kalev
  2. K

    home grown economies

    what does the concept of home grown economies mean? can anyone from great thinkers help me with this?
  3. K

    Umewahi kuwa mtalii ndani ya Tz na kujionea maajabu haya?

    Hzo nzo ni starehe kama kwenda kuangalia mlm kilimanjaro. Kwa hali ya umaskini tanzania na kwenye familia zetu c dhani kama tunachoice. Hizo hela za starehe ni bora kusomesha watoto wa ndugu na na marafiki. Tusiige kila kitu wanachofanya wazungu kwaani hali yao inawaruhusu.
  4. K

    tunduma pachafuka

    taarifa nlizopata ni kwamba raia wa tanzania wameshindwa kulala kutokana na milipuko ya mabomu huko mpakani tunduma kutokana na vurugu za uchaguzi wa zambia. Inasemekana kuwa watanzania wengi wanaoishi tunduma wako kwenye ardhi ya zambia. Mwenye taarifa zaidi atujuze.
  5. K

    Maafa Makubwa yanasubiriwa Ubungo Bus Terminal

    Mi naona muda umefika sasa na sisi watanzania kila mmoja wetu achangie kwenye maendeleo ya taifa lake baadala ya kuitegemea serikali kwa kila jambo. Kuna watu wanamijumba ya thamani kubwa hadi biliona lakini hajawahi hata kujitolea hata cent 1 kuchangia maendeleo yoyote. Kwa mfano float jackets...
  6. K

    Elections 2010 Uchaguzi Igunga 2011: Uchukuaji fomu na kampeni kuelekea uchaguzi mdogo

    democratic system mst follow democratic principles, no shortcut, halima mdee isn't perfect she can make mistakes. Mkiogopa cost hata katiba mpya haitakuwa na uhalali kuliko ya zamani.
  7. K

    Wikileaks: Asemavyo Kikwete juu ya Museveni

    jk is ryt, i wish he could give such good answers 4 qns about Tanzania problems.
  8. K

    Anna Makinda amponda Sitta kwenye kikao cha siasa Njombe

    nchi yetu kweli imeoza. Hamna hata utaratibu / vigezo vya kuchagua makao makuu ya wilaya, sasa hawa mafisad wanajivutia kwao as if wilaya ni mali yao.
  9. K

    Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    "kwanini Tanzania bado maskini miaka 50 ya uhuru", ndio kongamano linalo karibia kuanza hapa muccobs, watoa mada ni prof. Issa Shivji, Mh. Samwel Sitta, Dr. Harrison Mwakyembe, Prof Suleiman Chambo,Mr Mangasini (lecturer) and others. Najua ndugu zangu wana jamii mna mwono mkubwa sana...
  10. K

    Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    kwanini Tanzania bado maskini miaka 50 ya uhuru "kwanini Tanzania bado maskini miaka 50 ya uhuru", ndio kongamano linalo karibia kuanza hapa muccobs, watoa mada ni prof. Issa Shivji, Mh. Samwel Sitta, Dr. Harrison Mwakyembe, Prof Suleiman Chambo,Mr Mangasini (lecturer) and others...
  11. K

    Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    "kwanini Tanzania bado maskini miaka 50 ya uhuru", ndio kongamano linalo karibia kuanza hapa muccobs, watoa mada ni prof. Issa Shivji, Mh. Samwel Sitta, Dr. Harrison Mwakyembe, Prof Suleiman Chambo,Mr Mangasini (lecturer) and others. Najua ndugu zangu wana jamii mna mwono mkubwa sana kuhusiana...
  12. K

    Peter

    strange, i don't get t, y da laugh?
  13. K

    Kama ni wewe...

    i divorce, ndo walivyo hawa wadudu
  14. K

    biashara asubuhi

    u never know!
  15. K

    Mkojo ni dawa!

    naamini mwenye ugonjwa sugu atajaribu kimyakimya..........,,,,,,,, naomba tu atu inform ikifanya kazi
Back
Top Bottom