Heri ya mwaka mpya
Moja kwa moja niende kwenye mada husika.
Tanzania kuna makampuni mengi yanayotoa huduma ya bima hasa bima za Afya. Sasa ukiacha NHIF na CHF naomba kufahamu bei ya vifurushi vya bima za afya kutoka kwenye makampuni mengine ya bima.
Natanguliza shukurani [emoji1488]
Wanaokuasumbua nahisi ni hawa hapa
Elegant grasshoppers wenyewe hawali monocot bali hushambulia zaidi legumes akina maharage
Hao ni wadudu wanaoruka hivyo ili kuwaua usitumie contact insecticides bali tumia systemic insecticides kuweza kuwashinda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.