Habari wanajamvi. Nahitaji kukodi Friza, Juisi dispensa na jiko la kuchomea nyama kwa siku moja tu ya tarehe 12/12/2020. Nipo Dar na nitavihitaji kwa ajili ya shughuli Dar.
Tafadhali mwenye navyo tuwasiliane DM.
Shukrani
Nimemwelekeza aende duka la Assad Animal Feeds lipo Ubungo Kituo cha mafuta. pale atapata malighafi za viwandani pamoja na zisizo za viwandani (mashudu, damu, mifupa n.k)
Nenda Ubungo kituo cha mafuta kuna duka wanauza chakula cha kuku na hizo malighafi ukitaka kwa jumla au kupimiwa kwa kilo chache. Duka linaitwa Assad Animal Feeds
Bei ya vitunguu swaumu-Kariakoo
Habari zenu Wakuu.
Nahitaji msaada wenu juu ya bei ya sasa ya kulangulisha vitunguu swaumu sokoni Kariakoo kwa kilo moja.
Au kama kuna mdau ana namba ya simu ya dalali wa vitunguu Kariakoo, tafadhali anipatie. Mimi nipo Iringa na nina vitunguu swaumu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.