Ikiwa Makonda ni mhalifu ama aliwahi kuwa mhalifu na hajawahi kuchukuliwa hatua zozote ila anateuliwa tu kuwa kiongozi, basi huyo bosi wake anayemteua ndiye mhalifu mkuu.
Acheni kumsumbua kijana 😂😂
".. Ole wake mtu (nabii) asemaye kwamba Mungu amesema nami ilhali sijasema naye".
Hiyo ni kauli (onyo) kutoka kwa Mungu mwenyewe.
Walikuwepo na wataendelea kuwepo hao manabii wanaotumia kisiasa Ila mwisho wao huwa ni mmbaya kabisa.
Kama una kumbukumbu za kutosha utakumbuka kuhusu unabii wa nabii TB Joshua alipotangaza hadharani kuhusu Edward Lowassa kwamba huyo ndiye rais wa 5 Tanzania, na Mungu ndiye aliyemfunulia hayo.
Hivi umewahi kujiuliza kwa nini Edward Lowassa hakutimiza huo unabii? Mie naamini kuwa nabii TB...
Vigezo vya nabii wa uongo anavyo.
Katika unabii wake hajamtaja Yesu kama mhusika mkuu wa huo unabii, maana yake ni kwamba huo unabii ni mihemko yake binafsi na hajafunuliwa na Yesu.
Ni nabii wa uongo huyo. Japo kasahau kuweka namba ya kupokea sadaka nono, huyo nabii ni sawa na wapiga ramli aka wazee wa sadaka ya kuku wa rangi nyeusi.
Aliyekuambia kuwa mimi ni mchaga ama mtu wa kaskazini kakudanganya.
Mie ni mwenyeji wa Ng'walogwabagole ni msukuma pyua wa ng'weli, Ila siungi mkono Gwaji boy kugombea urais kwa tiketi ya Chadema. Hana sifa hata moja kwa kifupi.....
Hafai kabisa, Ila kwa tiketi ya ACT WAZALENDO anafaa kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.