Recent content by Kakati

  1. Kakati

    Imani yangu ni kuwa Tanzania moja, Serikali moja itatutoa

    Ni kweli CCM imetulea na tuko vizuri. Hata hivyo kwa kweli ni muhimu tukipata wasaa tujadili mambo ya msingi kwa uhalisia. Muungano lazima udumu daima. Tunachozungumza ni kuweka mfumo mzuri udumu hata milele.
  2. Kakati

    Imani yangu ni kuwa Tanzania moja, Serikali moja itatutoa

    Jibu lake ni kuwa tuliungana nao kwa kuwa walikuwa na ni majirani. Na walikuwa na soo tukawa tunawakingia kifua kiaina. Muhimu turudi mezani kwa uwazi. Tujadiliane, tuungane kabisa. Ina faida kubwa. Na dunia itatuheshimu. Faida kwa wote zitakuwa zaidi kuliko hivi tunavyoendelea sio baridi sio...
  3. Kakati

    Imani yangu ni kuwa Tanzania moja, Serikali moja itatutoa

    Matukio yatapita, hata sisi tutapita, tuache hadithi nzuri kwa wajao.
  4. Kakati

    Imani yangu ni kuwa Tanzania moja, Serikali moja itatutoa

    Naiangalia Tanzania ya mwaka 2073 miaka 50 kutoka leo. Najitenga na ubinafsi nifikiri bila kuzugwazugwa. Nauangalia mfumo wa Muungano wa Tanzania. Najikumbusha mazingira ya kuanzishwa kwake wakati sultani amefurushwa na hatihati za kutinga kwake tena. Nafikiria wapendavyo wapemba na waunguja...
  5. Kakati

    Madirisha ya aluminium yanaruhusu mbu

    Madirisha ya mbao kwa sasa yana gharama zaidi nadhani, watu wanatumia alminium kupunguza gharama ya ujenzi.
  6. Kakati

    Madirisha ya aluminium yanaruhusu mbu

    Asante kwa ushauri. Nitatafuta hawa jamaa.
  7. Kakati

    Madirisha ya aluminium yanaruhusu mbu

    Habari ndugu zangu. Mimi nina jambo dogo, madirisha ya alminium, yanayo-slide yana upenyo naona kwenye nyumba yangu yenye wavu wa mbu kwenye madirisha mbu wanapita! Hizi reli zinaacha nafasi. Hivi tatizo hili wengine mnalo? Au mmelizuiaje? Au mnalikabilije? Nisaidieni jamani.
  8. Kakati

    Uchaguzi 2020 US Ambassador to Tanzania: I am concerned, if election officials do not take necessary steps, country's democracy will lose credibility

    US has no permanent friend or permanent enemy but permanent interests. Wakiona prospects za kuigeuza Tz shamba la bibi zaweza kulindwa na fulani watampigania. Hakuna uwezekano wa povu kutoka tu eti kulinda demikrasia ya wandengereko! Tustuke.
  9. Kakati

    Ili Tanzania kuwika kiuchumi Duniani, inategemea uongozi thabiti

    Tuliza muzuka ndugu, ndugu yetu anasaka pesa yawzekana qnatuma kiduchu huku.
  10. Kakati

    Ili Tanzania kuwika kiuchumi Duniani, inategemea uongozi thabiti

    Najua. Korea kaskazini wanakataa kuwa watumwa milele. Wako tayari kwa lolote. Siasa yao sawa na China na Cuba. Leta maneno.
  11. Kakati

    Ili Tanzania kuwika kiuchumi Duniani, inategemea uongozi thabiti

    Nakubaliana na wewe kipande kidogo. Kwamba kuna misaada hutika kwa hao unaowahusudu kuja hapa, ila kwa taarifa yako kila senti huwa na ndoano ya hayari. Je wewe kwa mawazo yak9 umekata tamaa kwamba milele utakuwa mtumwa wao. Mwelekeo wetu ndio njia bora. Na hata sasa misaada yao wameipunguza na...
  12. Kakati

    Ili Tanzania kuwika kiuchumi Duniani, inategemea uongozi thabiti

    Na kwa kweli wazungu wanajua potential ya Tanzania na Afrika kwa ujumla. Wanafanya vyovyote waendelee kuwa juu. Magufuli kiboko yao. Niamini na tuache longolongo ya kujaribu ujinga
  13. Kakati

    Ili Tanzania kuwika kiuchumi Duniani, inategemea uongozi thabiti

    Kwa kweli tunaelekea kuwa doner country. Tujiamini na kuwakubali viongozi wasioamini kuwa tuna shangazi huko nje. Hao ni balaa, niamini. Tutajichelewesha tu. Ukweli ndio hu!
  14. Kakati

    Ili Tanzania kuwika kiuchumi Duniani, inategemea uongozi thabiti

    Kwamba ni wazungu ni watu wa kawaida Lisu anajua. Kwamba hao wazungu ni tactical na wanafanya kila wawezalo kutunyonya na kwamba lazima kuwakabili kwa jeuri madhubuti anajua Magufuri. Shauri yako ukipinga.
  15. Kakati

    Ili Tanzania kuwika kiuchumi Duniani, inategemea uongozi thabiti

    Kwa ukweli kabisa? Yaani unaamini kwa dhati kuwa Lusu anaweza kukabili hao wakoloni mambo leo kuliko Magufuli. Elezea kwa nini!
Back
Top Bottom