Kila mtu ana nafasi yake. Mambo ya ndoa ni ya wanandoa wenyewe. Wazazi, ndugu na jamaa wasipewe fursa ya kukuongozea ndoa yako. Itavunjika au itakuwa si ya furaha kwenu wanandoa.
Ingekuwa ni katika kuzungumza ingeeleweka, lakini kwenye uandishi athari hizo hazipaswi kuwepo. Mi nadhani tuna matatizo ya msingi ya kutozingatia yale tujifunzayo.
Umesema vema mkuu. Breed ya vifaranga ndio chanzo cha ukuaji na si madawa. Kuna kuku wangu mmoja wa kienyeji alitotolea kwenye banda la kuku wa kisasa wa nyama. Nimeuza kuku wa nyama awamu nne lakini vyenyewe bado vidogo pamoja na kula na kunywa pamoja na broilers.
Siku hizi hawana utaratibu wa wateja kuacha kianzio. Unajaza fomu zao tu na akaunti ikiwa tayari unataarifiwa ili uweke hela kwenye akaunti yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni ujinga. Fanyeni kazi. Tafuteni pesa. Kila kitu kina sehemu yake katika ndoa/ mahusiano. Kufikiri kwamba mwanamke anaweza tulia kwa mashine tu ni ujuha. Ni lazima kubalance. Vyote ni muhimu kwake
Nadhani badala ya kumshambulia gavana Ndulu, tuujue ukweli. Bunge limepitisha sheria. Mabeki ni mawakala wa kukusanya VAT na kuipeleka TRA. Kama walikuwa wanakusanya tangu mwanzo bila kuipeleka TRA kama wanavyodai, wachukuliwe hatua za kisheria kwa kuikosesha serikali mapato kwa kipindi chote...
Nadhani watu wengi tumejawa na mihemko bila sababu. Dr. Slaa kwa nafasi yake hakupaswa kutumia muda mwingi kiasi hiki kuwa kimya. Chama kikisimamisha michakato yote mpaka hapo atakaporia, itakuwaje? Uchaguzi utasogezwa mbele? Kamati kuu imeridhia, viongozi wengine ktk UKAWA wameridhia na pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.