Habalini za asubui,
nilitaji msaada wa shelia kidogo kuhusiana na jambo hili,
Mtu unapoamuwa kuacha kazi katika kampuni flani na ukatoa taalifa ya siku 15 (15 days note of resignation) je nikweli austahili kupata sitaiki zako zote kama, mshahara wa nusu mwezi, rikizo zako au overtime yako...
Habalini za asubui,
nilitaji msaada wa shelia kidogo kuhusiana na jambo hili,
Mtu unapoamuwa kuacha kazi katika kampuni flani na ukatoa taalifa ya siku 15 (15 days note of resignation) je nikweli austahili kupata sitaiki zako zote kama, mshahara wa nusu mwezi, rikizo zako au overtime yako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.