dawazakufutamakovu hua ni za muda mrefu miezi mitatu na kuendelea hata mwaka, yeye anatumia tu mwisho huwa inafutika unaweza kuona mwanzo inafanyakazi kisha ikaacha sasaunatakiwa kuendelea kutumia tu hatamiezi 8 inafutika.tafuta wanaotibungozi kwa dawa zamitishamba
Zipodawa za kufuta makovu mwambie awatembelee watu wa dawa za asili wanaotibu ngozi huwa wanachanganya na vitu gani sijui kovu linpotea kabisa kama halina muda mrefu. dawa zingine zinaweza kuondoa makovu ya muda mrefu ilaatatumia hata miezi 9 unaitumia tu mwisho inafutika kabisa asiwe na haraka...
Ipo subway, ambapo ukishaifunga wewe utaweka unit kwenye mita kuu kisha zitahamia kwenye submit yako, ikiwa mita kuu ilikua na unit 3 kisha wewe ukaweka unit 20, basi hizo 20 zina transfer kwenda kwenye submitter yako halafu mita kuu inabaki na zile 3. Kwa hiyo hata mita kuu umeme ukikata baada...
Karibu Benki zote hazina huduma ya vyoo kwa wateja hapa nchini, tunafahamu Benk ni kwajili ya kuweka hela na kutoa hela lakini ofisi nyingi vyoo ni vya watumishi tuu, sasa kama mabenki wateja ndiyo washirika wao kwanini vyoo vinakuwa ni tatizo kwao?
Je, wateja wao hawana mahitaji ya kwenda...
Zumaridi ni msumari wa moto na chachu ya mabadiliko na wala hamuwezi kumpeleka popote.
Mnamnanga kwa yeye kujiita ni mungu, hivi kweli ninyi mnaakili sawa?
Je mnataka kumpeleka mahakamani, mahakama ipi inayo hukumu kwa kutumia sheria za MUNGU. ?
Mnajifanya mna uchungu sana na MUNGU ilihali...
Kwa haraka haraka hao ni kikundi cha wapiganaji wa Congo DRC au BURUNDI. Kwanza karibu watu wanne wamebeba silaha nzito za kivita. Pili inaonesha huyu binti alifanya jambo either la kichawi kwa kuwazingua hao jamaa hapo Kijijini. kwasababu hapo mmoja anasema 'Unatuloga eeh' au huenda huyu binti...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.