Recent content by Kahise

  1. Kahise

    Maajabu ya Dunia: Watanzania kushangilia spidi ya kupelekwa kwenye umaskini

    Neema ya vitu vingi tu. Tulikuwa na neema ya elimu yenya maana kuliko takataka ya leo. Pamoja na shule kuwa chache, elimu ilikuwa na maana. Nchi iliweza kuuza nje mali ghafi kwa wingi: Kahawa, mkonge, chai, na mazao mengine na hivyo deni la taifa lilikuwa dogo. Viongozi walikuwa wana miiko na...
  2. Kahise

    Maajabu ya Dunia: Watanzania kushangilia spidi ya kupelekwa kwenye umaskini

    Nadhani wewe unaumwa kichwani. Nafikiria maradhi yako ni makubwa kabisa. Huwezi kuchukua ka point kadogo kamoja kupinga kilichoaandikwa! Sisi wengine tumekua enzi hizo anazosema mwandishi! Tanzania ilikuwa ni nchi ya neema sana. Kipindi cha vita tu kati ya Tanzania na Uganda ndipo tulipata...
  3. Kahise

    Maajabu ya Dunia: Watanzania kushangilia spidi ya kupelekwa kwenye umaskini

    Muzee toa solution nini kifanyike ili umma uamke!
  4. Kahise

    Kadinali Rugambwa ampokea Rais Samia Tabora

    Hukuwa na wito muzehe!
  5. Kahise

    Mageuzi anayofanya Rais Samia Suluhu kwenye kilimo hayakuwahi kutokea

    Hizo sera ni zipi mpaka tuunge mkono? Mie naishi kijijini ambako maisha yetu yanategemea kilimo. Kilimi cheti hapa kiko vile vile zaidi ya miaka 20 iliyopita. Hizo sera ambazo haziwafikii watu kama sisi vijijini ili kukifanya kilimo kiwe na tija zinaishia mjini?
  6. Kahise

    CV ya Kikeke ina Ukakasi hawezi kuajiriwa serikalini, alianza darasa la kwanza na miaka 4

    Kimsingi wewe ni mwenyekiti wa wajinga. Tanzania iko nyuma kwa sababu wanaajiri vyeti. Andiko lako halina akili kwa sababu ya kukariri mambo. Mwaka 1974, mimi nimeanza shule nikiwa na miaka 6, ulichoandika ni kukariri kijinga. CV ya mtu ni maisha yake, wewe na Uingereza imemtumia mtaalam huyo...
  7. Kahise

    Mwenge wa Uhuru na Wasanii

    Mwezi uliopita nilishuhudia Mwenge unakimbizwa katika mkoa wa Kigoma. Ajabu niliyoiona ni mwenge kutembea na wasanii wa Bongo! Zamani mwenge ulijitangaza wenyewe kwa kiwa ulionekana wenye maana kwa kile ulichokisimamia. Leo wanaokwenda kwenye mwenge ni watoto wa shule za msingi! Ili kuwe na...
  8. Kahise

    Namsikiliza Rais ufunguzi wa baraza la vyama vya siasa, Rais Samia hayuko huru kabisa, kuna kundi linamburuza ndani ya CCM

    Hiyo modern Tanzania ndiyo kitu gani? Aaaaaah nimekumbuka TAL anasema kila kitu Chama Twawala hawezi wanataka kusaidiwa na watu toka Persia! Ndiyo modern TZ!![emoji2301][emoji2301][emoji2301][emoji2301]
  9. Kahise

    Siasa zimefika patamu, leo Tundu Lissu wamemparura, tusubiri Mkito wake akijibu Mapigo

    Saikolojia ya kawaida inafundisha kuwa vile unavyomfikira mtu alivyo, unajionesha mwenyewe jinsi ulivyo! Na hiyo ni inferiority ya hali ya juu. Kubali kuwa kuna universal good!
  10. Kahise

    Siasa zimefika patamu, leo Tundu Lissu wamemparura, tusubiri Mkito wake akijibu Mapigo

    Wewe unazijua hizo code walizokubakiana? Wameanza kubaka code of conduct? Zilete humu utuoneshe zilizovunjwa!
  11. Kahise

    Ni janga na aibu kwa taifa kuwa na vijana aina ya Mdude Nyagali

    Kenge mkubwa wewe! Kuwa na vijana kama wewe, walamba viatu ndiyo taifa kukosa mwelekeo! Unadhani wewe una mpangilio wa maneno? Jichunguze, kunguni-chawa!
  12. Kahise

    Mhashamu Almachius Rweyongeza apigilia msumari zaidi kwenye waraka wa TEC

    Kumbe nchi hii ina mabwege sana. Wewe ni bwege tena mwenye akili taahira. Kuwa muhutu au mnyamwezi au wewe ambaye umetukuka kuna uhusiano gani na kusema ukweli? Jitafakari maana u mgonjwa wa akili. Wewe kama siyo muhutu, una kitu gani zaidi ya muhutu? Bwege mpumbavu kabisa.
  13. Kahise

    Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?

    Baba umevuta ya Meru au Musoma? Kwani uislamu hauko Tanzania? Upo Tanzania muda mrefu zaidi ya ukristu. Nani anawazuia kufanya miradi kama wafanyayo wenzao? Pamoja na pesa alizonazo, nani anamzuia mwarabu kujenga shule za maana na mahospitali na vyuo vikuu?
  14. Kahise

    Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?

    Paskal nadhani wewe si mkatoliki, au waweza kuwa mkatoliki jina. Waraka wa kulaani mauji 2017 ulitolewa wakati wa nani? Waraka wa Kwaresma 2019 ulitolewa rais akiwa nani? Uwe mwenye kumbukumbu sahihi. Demokrasia yenyewe unayodhani waijua imelelewa kanisani, au hujui? TEC ana haki ya kuhoji...
  15. Kahise

    Mpeni Mungu yaliyo ya Kimungu na Kaisari yaliyo ya Kaisari! Hiki kinachofanywa na Baraza la Maaskofu Katoliki, sio kuchanganya dini na siasa?

    Acha bangi, hii inaitwa generalization! Umesahau Waraka wa Kwaresma wa Covid-19? Umesahau waraka wa 2017 unaolaani mauwaji
Back
Top Bottom