Neema ya vitu vingi tu.
Tulikuwa na neema ya elimu yenya maana kuliko takataka ya leo. Pamoja na shule kuwa chache, elimu ilikuwa na maana.
Nchi iliweza kuuza nje mali ghafi kwa wingi: Kahawa, mkonge, chai, na mazao mengine na hivyo deni la taifa lilikuwa dogo.
Viongozi walikuwa wana miiko na...
Nadhani wewe unaumwa kichwani. Nafikiria maradhi yako ni makubwa kabisa. Huwezi kuchukua ka point kadogo kamoja kupinga kilichoaandikwa! Sisi wengine tumekua enzi hizo anazosema mwandishi!
Tanzania ilikuwa ni nchi ya neema sana. Kipindi cha vita tu kati ya Tanzania na Uganda ndipo tulipata...
Hizo sera ni zipi mpaka tuunge mkono? Mie naishi kijijini ambako maisha yetu yanategemea kilimo. Kilimi cheti hapa kiko vile vile zaidi ya miaka 20 iliyopita. Hizo sera ambazo haziwafikii watu kama sisi vijijini ili kukifanya kilimo kiwe na tija zinaishia mjini?
Kimsingi wewe ni mwenyekiti wa wajinga. Tanzania iko nyuma kwa sababu wanaajiri vyeti. Andiko lako halina akili kwa sababu ya kukariri mambo. Mwaka 1974, mimi nimeanza shule nikiwa na miaka 6, ulichoandika ni kukariri kijinga. CV ya mtu ni maisha yake, wewe na Uingereza imemtumia mtaalam huyo...
Mwezi uliopita nilishuhudia Mwenge unakimbizwa katika mkoa wa Kigoma. Ajabu niliyoiona ni mwenge kutembea na wasanii wa Bongo!
Zamani mwenge ulijitangaza wenyewe kwa kiwa ulionekana wenye maana kwa kile ulichokisimamia. Leo wanaokwenda kwenye mwenge ni watoto wa shule za msingi! Ili kuwe na...
Hiyo modern Tanzania ndiyo kitu gani? Aaaaaah nimekumbuka TAL anasema kila kitu Chama Twawala hawezi wanataka kusaidiwa na watu toka Persia! Ndiyo modern TZ!![emoji2301][emoji2301][emoji2301][emoji2301]
Saikolojia ya kawaida inafundisha kuwa vile unavyomfikira mtu alivyo, unajionesha mwenyewe jinsi ulivyo! Na hiyo ni inferiority ya hali ya juu. Kubali kuwa kuna universal good!
Kenge mkubwa wewe! Kuwa na vijana kama wewe, walamba viatu ndiyo taifa kukosa mwelekeo! Unadhani wewe una mpangilio wa maneno? Jichunguze, kunguni-chawa!
Kumbe nchi hii ina mabwege sana. Wewe ni bwege tena mwenye akili taahira. Kuwa muhutu au mnyamwezi au wewe ambaye umetukuka kuna uhusiano gani na kusema ukweli? Jitafakari maana u mgonjwa wa akili. Wewe kama siyo muhutu, una kitu gani zaidi ya muhutu? Bwege mpumbavu kabisa.
Baba umevuta ya Meru au Musoma? Kwani uislamu hauko Tanzania? Upo Tanzania muda mrefu zaidi ya ukristu. Nani anawazuia kufanya miradi kama wafanyayo wenzao? Pamoja na pesa alizonazo, nani anamzuia mwarabu kujenga shule za maana na mahospitali na vyuo vikuu?
Paskal nadhani wewe si mkatoliki, au waweza kuwa mkatoliki jina. Waraka wa kulaani mauji 2017 ulitolewa wakati wa nani? Waraka wa Kwaresma 2019 ulitolewa rais akiwa nani? Uwe mwenye kumbukumbu sahihi.
Demokrasia yenyewe unayodhani waijua imelelewa kanisani, au hujui?
TEC ana haki ya kuhoji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.