Siku ya Jumatatu 16/feb/2015 nilimtumia mtu pesa kutoka katika akaunti yangu ya airtel money kwenda kwa akaunti yake ya tigo pesa, pesa haikufika kutokana na maelezo yake ingawa kwangu sms ya pesa kutoka nilipata. Niliwapigia wakasema imeingia direct kwenye tigo pesa account yake, still jamaa...
jamani hili la matangazo ya airtel na mganga wa tiba asili badala ya KUTANGAZA JINSI YA KUJIOKOA,JINSI YA KUTUMIA MABOYA NA LIFE JACKETS wakati inapotokea dhoruba baharini limekaaje?au ndo mambo ya 10percent?SUMATRA PLEASE SAIDIENI KTK HILI
Msukumo huo si mwingine bali ni ule wa kuamua kuachia nafasi zangu zote za uongozi ndani ya chama, nikianzia na ile ya ujumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa nikiuwakilisha Mkoa wa Tabora na hii ya ubunge wa Igunga ambazo kama si kwa baraka za chama changu nisingelikuwa nazo.
msaada tafadhali wa wapi pa kuanzia,muhusika ni babu yangu alikuwa halmashauri ya wilaya ya iramba,anasema anazo document zote ingawa amezisahau singida kwani yeye tukonaye hapa dar kutokana na kuumwa.kama inawezekana tuziagizie ziletwe kisha afanye process zote hapa dar ndo maana naulizia...
jana wamemaliza kuweka mipaka ya ekari 100 kutokea baharini kuanzi mbuyuni kama unaelekea vijibweni,pia kiwanda cha gesi kimepitiwa na program hiyo.sasa ndo kusema bandari wanafuata hiyo rama ya mji mpya ama bado implementation haijaanza?
Ijumaa iliopita Wajumbe wa baadhi ya Mitaa ya VIJIBWENI walikutana kujadili upanuzi huo,na jana walikuwa wanakagua mipaka bandari itakapoishia.
je program itakayo chukua muda gani mpaka kuhamisha wakazi?
je Mafao wanazingatia VITU GANI nafikiri mfano mzuri tuchukulie waliohamishwa kurasini,
Vitu...
pole sana mpendwa,
wanaume wanachukizwa na vitu fulani fulani vinvyopelekea kuachana na wapenzi wao..mtafute hata kupitia mtu mwingine akueleze sababu ya KUKUACHA,
Ninauhakika ipo sababu huwezi achwa bila SABABU,tafadhali mtafute atakueleza pengine hapo mwanzo HUKUMSIKILIZA ndio maana KAKUACHA...
Hivi MREMA ameshawahi rudisha kadi ya CCM? ni lini au wapi?
Kwanini anataka UENYEKITI kila anakohamia wakati ni suala la wanachama kumchagua ama la?
Huu kweli sio u-double agent kweli jamani?
kwa wastaarabu ndo mwanzo wa kuliboresha ili usijemkosa mamsapu ama mume kwa ajili ya maisha yako,familia kwa ujumla...........
kwa wasio wastaarabu ndo imetoka as wife ataona kuwa hakuwa kwenye right choice while mume ataona kwanini apate usumbufu ikiwa wanawake wapo wengi.......
kwa wastaarabu ndo mwanzo wa kuliboresha ucjekosa laaziz wako na wtu kukushushia hadhi ktk jamii
kwa wasio wastaarabu ndio imetoka hiyo wife atabase kuwa alikosea kuwa na wewe wakat kidume kitaona yanini haya matatizo wakat viburudishio vipo kibao tena cheeeap
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.