Recent content by Kacharimbe

  1. K

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Huu wimbo nautafuta sana. Nimeweka kipande kidogo ambacho nilikipata youtube. Mwenye bao full aniwekee
  2. K

    Mwenye huu wimbo full wa RC aniwekee tafadhali

    Nimeutafuta sana youtube haupatikani. Nimepata kipande tu
  3. K

    Msaada kuhusu dawa za Wakorea

    Leo nimekwenda hospitali ya mkoa, wamesema prostate ni kubwa kama 50. Kuna dawa wamenipa, tamsulosin ambayo ni ya kutuliza tu ila wameniambia niende Muhimbili kitengo cha mkojo kwa uchunguzi zaidi
  4. K

    Msaada kuhusu dawa za Wakorea

    Bado kiongozi. Waliniambia wanichome sindano za magoti kila wiki 2 kwa wiki 5. Walisema ni baridi yabisi. Ndo wakaniambia pia nina tezi dume nilipie 150,000 Ndo nauliza kama dawa zao zinatambulika
  5. K

    Msaada kuhusu dawa za Wakorea

    Nilienda kutibiwa miguu kuuma, magoti, mkojo kuuma wakati wa kukojoa, na mkojo kutokuisha wote. Yaani nikikojoa kabla sijarudi kukaa, nasikia tena hasa nikiwa nimetoka kuoga
  6. K

    Msaada kuhusu dawa za Wakorea

    Heshima wakuu, naomba kupata uzoefu kuhusu matibabu ya wakorea hapa nchini. Nilikwenda kutibiwa nikaambiwa nina tezi dume (of course dalili wanazozisema zote ninazo). Wakasema nianze matibabu ya mwezi 1 kwa shs 150,000. Naomba mwenye uzoefu anifahamishe maana sijawahi kutumia dawa zao: 1. Je...
  7. K

    Natafuta mmama/Binti wa kunichua

    Mimi ndo nimesema nahitaji kuchua. Wewe kama unataka ngono anzisha uźi wako utawapata
  8. K

    Natafuta mmama/Binti wa kunichua

    Mawazo yako ya kichina china
  9. K

    Natafuta mmama/Binti wa kunichua

    Haina shida. Hata ukitaka nije nyumbani sawa tu
  10. K

    Natafuta mmama/Binti wa kunichua

    Jamani, hivi kuna watu mnawaza ngono tu daily. Ninyi ndo wale ukiona choo tu unataka kujisaidia. Hivi dunia ya leo utakosa msichana wa chapu chapu hadi ulete uzi JF?
  11. K

    Natafuta mmama/Binti wa kunichua

    Nahitaji kuchua mkuu. Siyo ngono
Back
Top Bottom