Kaka upendo wa kweli huvumilia, hufadhili, hauhusudu; upendo hautakabari; haujivuni; haukosi kuwa na adabu; hautafuti mambo yake; hauoni uchumgu; hauhesabu mabaya..........................,
Kama unampenda kweli hauta hesabu mapungufu yake bali mtachukuliana madhaifu yenu.
Kaka ukifanya kinyume...
Kaka hapana kwasababu kisha vunja ahadi, hivyo inaonekana si mwaminifu. Tendo lenyewe linaitwa la ndoa yeye kalitenda vipi?, si mwaminifu huyo na siku nyingine utatoka wataingia wengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.