Habari zenu wadau, mdau ana degree ya kwanza ya Bachelor of art with Education, specilized in linguistics and kiswahili, kaishafanya kazi mwaka wa tano huu sasa anataka kwenda kufanya masters ya sociology, je atakuwa kachanganya mafile au hakuna tatizo kitaluma
Karibuni kwa ushauri.
sasa mtihani kuwa mgumu ndiyo ajiue dah naunga mkono kauli ya mdau hapo juu kuwa conseling is deed at higher learning institution maana watoto hawajitambui akisikia sap anahisi kifo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.