Dar es Salaam. Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) limesema ujio wa ndege ya mizigo ifikapo Aprili utaiwezesha kubeba mizigo hadi tani 3,000 kwa mwaka na kuondoa adha ya wafanyabiashara waliokuwa wakipeleka mizigo yao nje ya nchi.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mkutano na wadau...
Shirikisho la soka Afrika (CAF) limeshauri kutotumika Dimba la Benjamin Mkapa ili kufanyiwa marekebisho kwa kile wanachodai kuwa eneo la kuchezea (pitch) limeharibika.
Baada ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC utakochezwa leo kati ya Yanga SC na KMC FC, Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam...
Picha zinazoonyesha viatu vilivyoongezwa kwato kwenye soli ili mtu anapotembea viache nyayo za mnyama ardhini zimesambazwa pia sana mtandaoni.
Miongoni mwa waliosambaza ni gavana wa zamani wa kaunti ya Nairobi Mike Sonko aliyeandika kwamba viatu kama hivyo hutumiwa na wahalifu kaskazini mwa...
Kitaifa
Kesi ya uraia pacha kuanza kusikilizwa Mei 2
Jumanne, Februari 21, 2023
Wadau wa suala la uraia pacha wakitoka mahakamani, kusikiliza kesi ya uraia pacha iliyofunguliwa na Watanzania Sita wanaoshi nje ya chini, iliyofunguliwa Mahakama Kuu Masjala Kuu, Dar es Salaam.
By James Magai...
Mkuu hapo ni pagumu, kwanza msimamizi wa uchaguzi mwenyewe ccm, IGP kateuliwa na Raisi ccm, Tume ya uchaguzi imeteuliwa na ccm, list inaendelea...
Ndio maana watu wanataka Katiba mpya la sivyo ccm itakuwa madarakani milele
Shule ambazo wamiliki wake hawajielewi, wanashindwa kutumia pesa kulipa mishahara mizuri ili kuvutia walimu wenye uzoefu na wazuri lakini wanahonga kuiba mitihani, Hawa ndio wanasababisha nchi inakuwa na wataalamu wa ovyo
Mwanza. Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema mmoja wa wanafunzi waliogoma kufanya udanganyifu katika mitihani ya kidato cha nne mwaka 2022 katika Sekondari ya Thaqaafa iliyoko jijini Mwanza alijeruhuwa vibaya kutokana na adhabu aliyopewa na uongozi wa shule hiyo...
Yule jamaa ni mtaalam wa nyoka ndio kazi yake, kama unaona sio hatari jaribu wewe kumkamata. Najua Hiko kipindi kipo NatGeo Wild ni jamaa wa South Africa sikiliza maelezo yake vizuri kama yanatofautiana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.