Recent content by jiamini360

  1. jiamini360

    Serikali yatumia Sh 900 milioni kudhibiti kipindupindu

    Serikali imesema imetumia zaidi ya Sh 900 milioni kwa ajili ya kupambana na ugonjwa wa kipindupindu nchi nzima kwani katika kipindi cha miezi tisa watanzania 21,634 waliambukizwa na ugonjwa huo na wananchi 338 wamefariki.
  2. jiamini360

    Mahaka Kuu yakataa kutoa amri ya kusitisha maandamano

    Mzozo kuhusu tume inayosimamia uchaguzi nchini Kenya IEBC umeendelea kutokota. Waandamanaji katika miji mbalimbali wameendeleza maandamano yao ya kila Jumatatu kushinikiza tume hiyo ivunjwe na iundwe upya, kama upinzani unavyosisitiza. Mapema Jumatatu mahakama kuu ya Nairobi ilikataa kupiga...
  3. jiamini360

    Rais Magufuli: Walifikiri nitakuwa part of them, Never! Bora nikachunge ndege

    Raisi Magufuli: walifikiri nitakua PART OF THEM! NEVER! NITAWASHUGHULIKIA KWELI!, KWELI!.
  4. jiamini360

    What An Impressive Young Politician

    Ndlozi Mbuyiseni
  5. jiamini360

    Wapinzani Bungeni Frika kusini, Wakizichapa na walinzi

    Kutoka Bungeni Afrika Kusini, Wabunge wa chama cha EFF wakifukuzwa Bungeni mnano mwezi Meyi 2016.
  6. jiamini360

    Mapokezi ya Baba Wa Taifa Marekani 1963

    J. F. Kennedy was a very close friend of Nyerere. They have been in touch for a little while before making this State Visit in the summer of 1963. Tanganyika was changing and so was US. The two men are no longer with us but the friendship between our two people still remains stronger than ever.
  7. jiamini360

    Mapokezi Ya Baba Wa Taifa Wingereza 1975

    Pull back from Tanzain Coat of Arms to platform of Victoria Station as train pulls in. MS The Queen & Duke of Edinburgh. President Nyerere from train shakes hands with Queen and Duke, then Prince Charles and Princess Anne, the Duchess of Gloucester, the Duchess of Kent. Queen and President out...
  8. jiamini360

    VIDEO: Jinsi Fedha za MCC zilivyosaidia Tanzania

    Fedha za MCC zimewekeza kwenye kushuhulikia mtandao duni wa usafiri kwa kuboresha barabara ili kuongeza kuongeza biashara na kusaidia kunganisha jamii na masoko, shule na vituo vya afya, kuboresha ubora wa upatikanaji wa umeme na kupanua huduma za umemena kungeza upatikanaji maji safi na salama...
  9. jiamini360

    Jinsi Afrika inavyopoteza mabilioni

    • $46.3 billion in profits made by multinational companies • $21 billion in debt payments, often following irresponsible loans • $35.3 billion in illicit financial flows facilitated by the global network of tax havens • $23.4 billion in foreign currency reserves given as loans to other...
  10. jiamini360

    Can Tanzania get its MCC suspension lifted?

    Tanzania’s government must outline how it will address concerns about democratic inclusivity if it wants to reopen a partnership with the Millennium Challenge Corp., MCC officials told Devex, after the U.S. development agency decided on Monday to suspend a $472 million compact with the country...
  11. jiamini360

    Humphrey Polepole ni nani?

    Nini Maoni Yako Kuhusu Huyu Mchambuzi!
  12. jiamini360

    Jeuri ya Serikali ya Tanzania

    Mpaka sasa China imedhamini miradi takribani 62 Tanzania kupitia soft loans na aid hii pamaoja na £1.3b ya pipeline ya gesi Dar-Mtwara. Na mpaka sasa Tanzania ni Nchi ya pili kwa kupata mikopo na misaada kutoka china ambayo si chini ya $5b. Pesa za MCC si kitu kwa seriakali ya Tanzania. Kwa...
  13. jiamini360

    (Legacy) Urithi Kutoka Kwa Viongozi Wetu

    Sidhani kama viongozi wetu wanaangaliaga miaka 50-100-200 mbele. Huwa wanaangalia hapa tuuuuu. Watu kama wakina Abraham Lincorn (1809-1865), Winston Churchill(1874-1965), George Washington (kuzaliwa 1732-1799 kufariki)n.k ni viongozi wanaokumbukwa mpaka leo kwa mengi, wamejitengenezea legacy...
Back
Top Bottom