Nimeangalia Kichwa cha mada, kisha nikaangalia input yako (Mada), nilipogundua viko tofauti nikakutia kwenye dustbin. Nikaendelea na shughuli zangu.
Pole kwa kukurupuka
Mtoa Mada hukumwelewa vyema. Kote kule alizunguka tu.. Yeye anataka watu waongelee "kulikoni kifuani" Kuna uwezekano kuwa mtoa mada ni mdhaifu when it comes to "BOOBS" kama walivo vijana wengi, akiwemo mdau J...
Ataachaje kuficha kifua chake pindi yeye mwenyewe anajua fika kuwa 90% ya watazamaji wanakodolea MATUNDA HADIMU aliyonayo? ha ha h baja baja bi b b riiiiiiiooooooo
karma unaamini popote ulipo unaweza kupambana na kuleta maendeleo katika taifa hili kwanini ushawishi watu kuhama chama flani pindi hata huko endapo alipambana (kwa mujibu was kauli yako) anaweza kuleta maelendeo as long as ni kokote? CDM, CCM, CUF, TLP kubalini challenges.
Kuonesha kwa vitendo kuwa ni wadini kwa kuyaenzi maneno yalioko kwenye vitabu vitakatifu kuwa "KILA MTU ATAUBEBA MSALABA WAKE MWENYEWE" kwani sasa ile mikoa ambayo haina maliasili kama mito, maziwa, milima na madini na iko nyuma kimaendeleo iendelee kuwa maskini na ile yenye maliasili na iko...
ungejiuliza kwanza wewe binafsi, watu wote wanaoongelea ama kutoa ufafanuzi kuhusu Mou ni viongozi wa Chama au ni wasemaji wa Dini au madhebu, kisha ndo ukauliza swali lako. Naona kama umekurupuka Dude.
Huyu Shibuda asifukuzwe wala nini, aachwe tu hivyovyo. Atajifukuza mwenyewe au tuseme kaisha jifukuza. Huyu ata-expire tu believe or not. We undhani wananchi wanajali kauli zake...? Ndo kwanza anaendelea kupoteza mvuto hadi atachuja. Kwa mtazamo wangu kupitia jicho la 3, Shibuda anakiimarisha...
Bora wewe unayechoshwa na mikutamo na kuamua kupost status. Kuliko sie tunaochwa na utawala WA kidhalim, ubadhilifu WA Mali ha uma pamoja na ufisadi uloenea kila nyanja ya uongozi na kila hatua aichkuayo kiongozi WA nchi hii. Safari za kila siki zisizo za msingi, posho za kujinufaisha nakadhalika.
Hizo ni tetesi zisizo nz msingi, ZZK na CDM wako makini, walitumia nafasi ku kukerwa Kwa magamba kama advantage tu, hayo ni mawazo yajayo fasta si rahisi Kwa mbumbumbu kuelewa huo mtego. Magamba yalipiga kerere kwa uchungu mkubwa kuhusu ubadhirifu ulokithiri, kerere zao Mara nyingi zimekuwa...
Elimu ielekezwe vijijini Kwa nguvu na umakini, na lengo lisiwe kuiondoa CCM Bali lengo liwe kuuondoa udhalim popote ulipo, iwe ndani ya chama kinachotawala AMA vyama vinavyopigania kutawala kuna.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.