Daaah!! Enzi kweli zimepita imebidi niingie Youtube nimekuta watangazaji wengi wa Rfa wamevuta aisee na wengi wamehama,
Mimi hiki ndio kilikuwa kituo changu cha redio ninachosikiliza kuanzia asubuhi nikiamka
1.Ilikuwa inaanza 12 asubuhi amka na BBC hadi 12:30 asubuhi inafatia Magazetini...
Mkuu naomba kuuliza Juma Baragaza na Kamukulu wamefariki lini Daaah!! Kweli dunia tunapita sikuwa na taarifa za Baragaza kuwa amefariki, nina muda kidogo sijasikiliza Redio.
Wasalaam Wakuu,
Nahitaji Jumapili hii nikabadilishe ATM Card yangu imezingua na nafasi niliyonayo ni Jumapili tu. Je, kuna tawi lolote la NMB inayofunguliwa Jumapili ninayoweza kupatia huduma hii?
Natanguliza shukrani.
Ndio hicho kipengele nimeambiwa nikitumie kwenye kudraft barua yangu, sasa namna ya kuidraft ndio shida na kuiweka kama madai
Nikipata msaada nitashukuru sana
Nimehamishwa na Mamlaka,
Niliwahi kuomba miaka mitano nyuma ila walikataa na kuandikiwa barua kwa kujibiwa kuwa ombi langu limekataliwa hivyo huu wa sasa hivi sikuomba na hata barua haijaqoute barua yangu ya zamani
Wameniandikia tu kuwa huu uhamisho ni wa kawaida unaolenga kuboresha utendaji kazi
Nina miaka Tisa kazini toka nimeajiriwa serikalini,mwezi huu nimepata barua ya uhamisho kutoka Dodoma kuja Mwanza lakini barua yangu inasema uhamisho wangu hautagharamiwa na ofisi.
Naomba kama yupo anayejua taratibu za namna ya kuandika barua ya aina hii ya madai au malalamiko kwa muajiri wangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.