Juzi niliona video wamasai wakizozana na watu wanaosemekana ni polisi huko Zanzibar mwisho wa siku ilitokea kutokuelewana wakaanza kushambuliana
Baada ya ile video viongozi wakachukuwa hatua
Hapo ndio inadhiirisha tunaongoza na viongoz wenye akili ndogo na mihemko mingi wakurupukaji...
Tafuta eneo zuri kwa biashara ya viatu vya kike na kiume
Kisha safiri hadi mwanza mtaa ya Lumumba kuna maduka mengi ya jumla ya viatu ya kike na kiume na wanauza kwa bei ndogo sana fika pale chagua viatu vizuri nenda zako shinyanga kapige kazi ukichukuwa mzigo wa laki 3 mkubwa kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.