Unajua Israel walishambulia ubalozi wa Iran Damascus ili Iran ajibu waingie kwenye vita washambulie vituo vyake vya nyuklia.
Sasa unajua program ya nyuklia ya Iran haijafikia level ya kutengeneza bomu la nyuklia kwaiyo wakileta ujuaji watapigwa na progress yote waliyoifikia kwa miaka mingi na...
Niliacha kushabikia mpira siku VAR imeanzishwa kwasababu ilikua rasmi inaubadilisha mpira kutoka kua mchezo na kua video game.
Lile lingekua goli bora la mashindano bila ubishi.
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Mbona jamaa ameuliza swali jepesi sana! Namsaidia kuuliza tena, nani alimwaga damu kwenye uchaguzi wa 2020?
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Kwahiyo unachokisema ni kuwa hatukua sahihi kumpinga Madaraka kwenye ishu ya sanamu kwakua tu Mwalimu alikua baba yake na sio baba yetu?
Sijui historia ya mzee Mwinyi lakini kama kweli mababu zake wamelala Mkuranga, daaah naona kabisa wanaosema amezikwa Zanzibar kisiasa kama wana hoja vile...
Nilitaka nikutie bonge la tusi ila nilivojua we ni mwalimu nimeona nitakua tu natupa tusi langu bure
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Lakini sometimes ni raha sana kumuangusha mwanaume mwenzio kwa ngumi moja tu, tena jamaa kaangukia kichogo.
Na aliepigwa no wonder ni fundi sana wa kumpiga mke wake!
Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.