Nafikiri kuna mkono wa serikali katika suala hili ndo mana wanatakiwa wajisajili wizara ya mambo ya ndani.. lakini wamepewa uhuru wa kujitawala.. Sekta huru hufanya kazi kwa uhuru sana.. ukawii kusikia mambo ya kama ya mifuko ya kijamiii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.