weekend nataka niiwekee mzigo kwa team 2 za league || France afu nachukua na za uholanzi mbili zitoe1+ first half afu namalizia option ya 2+ kwa team 2za ubelgiji.
mie timu zangu ambazo huwa nimezipa guarantee ya 2+ ni burnley,shrewbury,barsley na morecambe haijalishi anakutana na nn ila kwa asilimia 85 goal hizo hutimia.
Acha kudanganya watu ww game fixing hairuhusiwi kwa wanaofuatilia mpira watakumbuka ishu ya juventus ilivyashushwa daraja kisa kupanga matokeo afu we kirahisi rahisi tu uje utuambie game fixing tena hadharani ivi c wangekamatwa wote....jamani msidanganyike mtalia nakusaga meno huyu ni tapeli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.