Wanasajili kwa kutumia youtube videos.
Huyo Babacar Sarr wa youtube hata De jong au Sergio Busquets hawaoni ndani.
Njoo kwa huyo Pa Omar Jobe sasa ukitazama skills zake youtube hata prime Lewandolski haoni ndani!
Hapo makolo wanaingia kichwakichwa wanasajili.
Tatizo sio kukutana na Madrid final.
Tatizo huyo Madrid atatoboa Etihad.
Nafkiri uliona alivyopelekewa moto na akafosi sare bernabeu
Ana kazi kubwa sana muhispania mwenzetu ya kumzuia Pep.
Hey cules.
Game ya jana tumempiga PSG akiwa home.
Mechi ijayo tukikaza tukawatoa kuna uwezekano mkubwa wa kukutana na vijana wa El Cholo (ATM) nusu fainali.
Watu wengi hawatupi nafasi kutokana na changamoto tunazopitia na form yetu kutokuwa na consistency
Ikitokea tunacheza nusu fainali na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.